Recent content by mkata body

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mume

    Ni pm insha allah kama kweli una nia ya nusra
  2. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu anasafirishwa kuelekea Central Dar es Salaam

    NIkipi aliropoka ambacho sichakweli?hatakama umekunywa maji ya bendera tambua nch hii ikianguka hatuna nyingine tunawajibu wakuilinda na kulinda raslimali zetu.sasa tumezigawa kwa wazungu na hatuon faida yake au unaweza kutuambia kama taifa ubinafsishaji wa nch hii umetusaidia kwa kias gan...
  3. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu anasafirishwa kuelekea Central Dar es Salaam

    Wewe unadhan lisu na chadema wanatetea maslah ya familia zao.kijijin kwenu huwenda munaish nyumba za nyasi alafu unakuja kuongea ujinga huku.ikiwa unafurahia kuish kwenye nch ambayo watu wake wakiisemea nch yao pale serikali inapokosea inakua uhaini wewe niwakuombewa ujitambue
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri Wenu Unahitajika : Kuna Mpenzi wangu anatuchanganya mimi na jamaa yangu

    Kwani ukamuacha akijua itakuathiri nin,?yeye kakufanyia mazur ili umrembe kiasi hicho?mchane piga chini msela akijua ndo poa munamuacha wote
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hasara juu ya hasara( hasara promax)

    Shida sio den kua himilifu shida tunakopaje kias hicho?raslimali zetu zinafanya kazi gani kila ukisikia barabara imejengwa ni mkopo uwekezaji wa nch hii unafaida gani.madin na raslmali nyingine zinasaidia nin?tuna vyanzo lukuki vya mapato lukuki vinaenda wap
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hasara juu ya hasara( hasara promax)

    Yani hii nch mungu tu atusaidie tujue kuipambania kwasababu chini ya ccm hakuna jipya tena
Back
Top Bottom