Recent content by mkandu

  1. mkandu

    Msanii wa Bongo flava Samiri abadili Dini

    Hichi kitu huwa ni nadra sana na inakuwa si habari kwa mkristo kwenda kwenye uislamu kwa hilo ndilo lililozoeleka. Na kwa kijana wa kiislam anayeufahamu uislamu wake ni ngumu kufanya hayo maamuzi.
  2. mkandu

    Video: Watanzania naombeni muangalie video hii kwa makini sana. Usipite bila kuchukua funzo hili

    Kama nakuelewa hivi... waandamane Sudan ambako hata kupata mlo mmoja ni taaabu kwao
  3. mkandu

    Sheikh: Mwanamke hapaswi kuwa na uongozi wa juu kabisa

    Chief usifanye kana kwamba hizo bodi hatuzijui mzee. Na hicho ni kielelezo tu cha nyaraka za kuhitaji uhalali wa kutambulika kiserikali ila ukweli unafahamika. Labda kwa swali jepesi tu. Bodi ya kanisa la Zumaridi linaweza kumuengea yeye akienda kinyume na maandiko...? Na kama wanaweza naomba...
  4. mkandu

    Ni asili ya Uislaam kutii mamlaka ila sio uchawa

    Ili uhesabike unaipania haki kiislamu yapaswa jambo liwe na sifa zipi tuanze na hapo mkuuu...
  5. mkandu

    Ni asili ya Uislaam kutii mamlaka ila sio uchawa

    Weeengi wamecomment chuki na hii inafungua mazito yaliyopo vifuani mwao. Ila wewe kidogo umekuja kwa hoja na unataka majibu. Hayo yote uliyoyataja MAPINDUZI, ARAB SPRINGS, na hivyo vinginevyo vyoooote ulivyotaja ikiwa wewe ni muislamu unapaswa urudi katika asili je yamefundishwa wapi kwenye...
  6. mkandu

    Kumuamini Askofu Gwajima ni kutopevuka kisiasa na kuuzwa kirahisi katika propaganda

    Sioni nilipogusa ufungaji wa kanisa. Nimestick kwa Gwajima kama Gwajima sio kanisa lake labda urudie kusoma kilichoandikwa. Pia hoja ya kuamini mfumo sahihi na sio chama fulani. Mimi ni moja ya waTZ wanaotamani hicho kitu ndio maana sikubaliani na vyama vya siasa vyoooote kwa kuwa wengi wao...
  7. mkandu

    Sheikh: Mwanamke hapaswi kuwa na uongozi wa juu kabisa

    Siku nyingine unapaswa ujifunze kabla ya kuandika post yoyote. Na hili liwe darasa tosha kwa watu wasiojua kama wewe itawasaidia. Kwenye uislamu hakuna msikiti wa Sheikh Faridi au Sheikh Mazinge ikawa yyndio mmiliki kama ilivyo kanisa la Gwajima, Kanisa la Kakobe, kanisa la Zumaridi na mfano...
  8. mkandu

    Kumuamini Askofu Gwajima ni kutopevuka kisiasa na kuuzwa kirahisi katika propaganda

    Fulsa ya wanayoitumia CCM ni ileile waliyoisoma kwa kipindi kirefu kuwa sisi ni mabingwa wa kujizima data kusahau kila kilichopita. Ndio maana leo hii wapo wengi wasemao kuwa "Gwajima ana madudu mengi ila kwa hili tunasafiri nae" Wakasahau kimya chake cha kipindi cha risasi za Lisu pia...
  9. mkandu

    Abdu Fatah Mussa Mtangazaji wa Radio Tehran Iran

    Great thinker mkongwe uliyebaki JM Allah akuongoze Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
  10. mkandu

    DOKEZO Katavi siyo salama. Kuna kikundi kinaitwa "Damu Chafu" ambacho kinafanya mauaji, ni hatari sana!

    Kuna mikoa utadhani ilisingiziwa kuwa Tanzania kwa tabia zao zisizofanana na waTz Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
  11. mkandu

    Sheria ya kumhudumia Mwanamke ifutwe, kwa sasa Ajira zinatolewa kwa Wote bila upendeleo

    Chief uko sahihi kwa asilimia [emoji817] huku kukwepa majukumu na kuona mwanamke anapendelewa nacho ni chanzo cha wanaume wasiojiamini dhaifu wakaamua kureft group na kuamua kwenda kwa wanaopendelewa. Hivi 50 kwa 50 ni anguko baya mno kutokea duniani na cha ajabu utakuta na janaume linasimama...
  12. mkandu

    Ewe dada mpendwa usimwangalie mtu yeyote isipokuwa mumeo

    "Oeni wenye dini mpate utulivu" Na hii ndio solution ya yoooote Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
  13. mkandu

    Kuna uwezekano mkubwa Hamas ni kundi maalum la Israel lenye lengo la kutimiza Mipango ya Wazayuni hapo Palestina

    Great thinker ndio wataweza kuunga dotz na kukuelewa usemacho.. Na kwa kuongeza tu ndio maana hutosikia hata siku moja ISIS ikiisapoti Hamas na kinachoendelea inaelezwa wengi wanaouawa ni raia wa palestine na sio wanamgambo maana wao huchokoza kisha hujificha walikojificha.... Sent from my...
  14. mkandu

    Nimeamua kuachana na dini, nitamuabudu Mungu kwa utaratibu wangu mwenyewe

    HII SITUATION YA KUPINGA DINI AU UWEPO WA MUUMBA IMEANZA MIAKA MINGI MNO HUKO AMERIKA NA ULAYA NA IKAAMINISHWA HADI KWA VIZAZI ILA ILITOKANA NA UWEPO WA DINI WALIZOZIPOKEA KWA WAKATI WAO NA HAKUKUWA NA MBADALA WA KUJUA KAMA KUNA IMANI TOFAUTI NA HIYO NA KAMA WALIAMBIWA BASI WALIAMBIWA MABAYA YA...
  15. mkandu

    Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

    Kutokuvijua kwako haimaanishi Kuwa havipo shika hilo mkuu. Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom