Naomba kujua kazi za katibu tawala,naomba kufahamu kazi ya KATIBU tawala wa mkoa, na tofauti ya mkuregenzi wa maendeleo wa mkoa.pia kama kuna KATIBU tawala he mwenyekiti tawala ni nani katika mkoa.wanaofaham nisaidieni
Safi sana mkuu.pata soda kwa mangi hapo ntakuja kulipa...lol hapa elimu tosha kabisa,naona na Magufuli wetu anajaribu ku apply baadhi ya mambo aliyofanya Roosevelt ya new deal....
Cant wait for the next episode
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.