Recent content by mkamangi2

  1. M

    Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    Hata me huwa nacheka sana huu uzi mweee!!
  2. M

    Naomba kujua kazi za katibu tawala na mkurugenzi kimkoa

    Sawa bana heri yako ww unayejua kila kitu.kama hukutaka kunisaidia ungepiga kimya kuliko kuongea utumbo wako hapa
  3. M

    Naomba kujua kazi za katibu tawala na mkurugenzi kimkoa

    Asante sana ndugu yangu
  4. M

    Naomba kujua kazi za katibu tawala na mkurugenzi kimkoa

    Kama wajua naomba unisaidie mkuu sikusoma elimu ya uraia
  5. M

    Naomba kujua kazi za katibu tawala na mkurugenzi kimkoa

    Naomba kujua kazi za katibu tawala,naomba kufahamu kazi ya KATIBU tawala wa mkoa, na tofauti ya mkuregenzi wa maendeleo wa mkoa.pia kama kuna KATIBU tawala he mwenyekiti tawala ni nani katika mkoa.wanaofaham nisaidieni
  6. M

    Naomba kujua historia ya Urusi

    Jitahidi mkuu tunakutegemea sana
  7. M

    Naomba kujua historia ya Urusi

    Safi sana mkuu.pata soda kwa mangi hapo ntakuja kulipa...lol hapa elimu tosha kabisa,naona na Magufuli wetu anajaribu ku apply baadhi ya mambo aliyofanya Roosevelt ya new deal.... Cant wait for the next episode
  8. M

    Naomba kujua historia ya Urusi

    Nime search sijaona
  9. M

    Naomba kujua historia ya Urusi

    Jama naomba mnielekeze kupata jukwaa la historia hapa jf.seems kuna mambo mazuri sana
Back
Top Bottom