Ndugu msomaji wa makala hii vuta kiti chako ujifunze kitu hapa ...
Africa Ina MASHUJAA
---
MFAHAMU MWANAMAPINDUZI HAYATI RAIS THOMAS SANKARA KUTOKA NCHINI BURKINAFASO
Kama Kuna usemi umeshawahi kuusikia ya kwamba
“wema hawafi”
Basi usemi huo una ukweli ndani yake maana Mimi na wewe msomaji...
ni kwamba chadema hakuna mfumo wa vikao au inakuwaje mbona mnazungumza humu...kila siku tunasema cdm siyo chama ni mkusanyiko tu c mmeonaa eeh:shocked:
huifahamu vizuri uwt ww uliza uambiwe hawa wamama bwana wanafanya kazi na hii inatokana na uongoz thabiti uliopo juu kwao..ss hv wana vicoba na saccos kila mahala na wanatumia tekinologia ya juu ya mitandao
hapa hatuangalii kuwa na jimbo tunaangalia uwezo wa kiongozi maana km sophia simba hana jimbo mbona hata kilango hana uwaziri au utukumbushe wizara yake
uthubutu anao maana kumbuka alishawahi kugombea ilala...kwani shida nn kiongozi ni yule mwenye kuleta maendeleo kwenye jamii na siyo porojo kwani hicho kiwanda cha tangawizikimeishia wp
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.