Recent content by Mkali wa Leo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Thomas Sankara The African Che Guevara

    Ndugu msomaji wa makala hii vuta kiti chako ujifunze kitu hapa ... Africa Ina MASHUJAA --- MFAHAMU MWANAMAPINDUZI HAYATI RAIS THOMAS SANKARA KUTOKA NCHINI BURKINAFASO Kama Kuna usemi umeshawahi kuusikia ya kwamba “wema hawafi” Basi usemi huo una ukweli ndani yake maana Mimi na wewe msomaji...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

    zitto hawazi pua na mdomo km mashabiki wa cdm
  3. M

    JamiiForums Tanzania Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

    hao ndio viongozi wa cdm jamani...chama kina matukio hko
  4. M

    JamiiForums Tanzania Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

    cdm wapo kwenye foolish age....
  5. M

    JamiiForums Tanzania Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

    ni kwamba chadema hakuna mfumo wa vikao au inakuwaje mbona mnazungumza humu...kila siku tunasema cdm siyo chama ni mkusanyiko tu c mmeonaa eeh:shocked:
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwa muktadha huu: Dr Slaa ikulu hapamfai!

    nan anabisha slaa siyo mdudu?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwa muktadha huu: Dr Slaa ikulu hapamfai!

    bado hujakifaham chama hichi ushazoea kujilipua mabomuu wewee
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwa muktadha huu: Dr Slaa ikulu hapamfai!

    wajipange tu kwenye kumtafuta rais wasitufanye watz hatuyafaham hayo:kev:
  9. M

    JamiiForums Tanzania Namuunga mkono Anna Kilango Malechela kwa nguvu zote

    huifahamu vizuri uwt ww uliza uambiwe hawa wamama bwana wanafanya kazi na hii inatokana na uongoz thabiti uliopo juu kwao..ss hv wana vicoba na saccos kila mahala na wanatumia tekinologia ya juu ya mitandao
  10. M

    JamiiForums Tanzania Namuunga mkono Anna Kilango Malechela kwa nguvu zote

    hapa hatuangalii kuwa na jimbo tunaangalia uwezo wa kiongozi maana km sophia simba hana jimbo mbona hata kilango hana uwaziri au utukumbushe wizara yake
  11. M

    JamiiForums Tanzania Namuunga mkono Anna Kilango Malechela kwa nguvu zote

    uthubutu anao maana kumbuka alishawahi kugombea ilala...kwani shida nn kiongozi ni yule mwenye kuleta maendeleo kwenye jamii na siyo porojo kwani hicho kiwanda cha tangawizikimeishia wp
  12. M

    JamiiForums Tanzania Namuunga mkono Anna Kilango Malechela kwa nguvu zote

    heh heh hyo story hata mimi naifahamu huyu mama anataka kuipoteza jumuiya kabisa maana kama ni uongozi hawezi
  13. M

    JamiiForums Tanzania Namuunga mkono Anna Kilango Malechela kwa nguvu zote

    kilango ameshindwa kiwanda cha tangawizi ndio ataweza taifa...hebu tujuzane kwa hilo..
  14. M

    JamiiForums Tanzania JK unapotoa rambirambi kwa kanumba 10,000,000/= je wazee wa EAC utwalipa lini mafao yao?

    na nyie mnaomwona kanumba hakupaswa kupatiwa hzo fedha kusaidia mazish misiba yenu mtu akichangia pesa nying basi mia pumbaf zenu..wivu tu
  15. M

    JamiiForums Tanzania JK unapotoa rambirambi kwa kanumba 10,000,000/= je wazee wa EAC utwalipa lini mafao yao?

    mmh hao wa eac hata ww unaruhusiwa kuwasaidia utakaowaona wana haki acha wivu...
Back
Top Bottom