Tatizo walimu na wanafunzi wanalingana kiumri siokama zamani walimu walikuwa niwatu wazima,tenawenye umri mkubwa lakini leo mwanafunzi anamiaka 16mwalimu anamiaka 18 hawawote niwatoto wasijitambua viongozi wakumbuke enzi miaka ya 80 elimu nawalimu ilivyokuwa
Nadhani polepole anamatatizo,ukisikiliza maneno yakekwamda huoanapokuwa anaongea utasemayukovizuri kimawazo akitoka hapo akaendakituo kingine chahabari anasema tofauti sasabinasfi nadhindwa kumtafasili, naamini wakati wakampeni alikuwanaimani akiongea sana mwisho atapata nafasi kwaaliekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.