mputamaseko
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 1,401
- 949
Pesa aliyopewa kipindi cha kampeni imekata nn[emoji216]
Huyu jamaa nampenda sana maana ana msimamo ni mzalendo hasa maana alisema Lowassa ni fisadi na alisimamia jambo hilo Lowassa akiwa CCM mpk hata alipokwenda Ukawa ! Tungekuwa na vijana kama Poepole 10 nchi hii ingefika mabaliDah, jamaa ana guts kwa kweli.......
Hayo Maoni Yako, Sio Ya WANAUKAWA!!! Kikao Gani Ulikaa Nayo Na Kupata Taarifa Hizo!!?Huyu jamaa ni mzalendo kweli tatizo baadhi ya WANAUKAWA walifikiri kwa sababu tuliungana naye kutetea maoni ya wananchi kwenye katiba mpya basi angelazimika kuipigia UKAWA kampeni kwenye uchaguzi.
Ikumbukwe alishaweka wazi uanachama wake wa CCM lakini kubwa zaidi alishaonya hata chama chake kuwa endapo kingempitisha fisadi Lowassa angekipinga kwenye uchaguzi.
Sasa angewezaje kuunga mkono UKAWA wakati alishaweka wazi msimamo huo zidi ya fisadi????
Huyu jamaa alitengemea atakula shavu?? Ila yeye kaliwa shavu!!!
angekuwapo bavicha angalau mmoja kama Polepole, nchi ingesonga mbele.Huyu jamaa nampenda sana maana ana msimamo ni mzalendo hasa maana alisema Lowassa ni fisadi na alisimamia jambo hilo Lowassa akiwa CCM mpk hata alipokwenda Ukawa ! Tungekuwa na vijana kama Poepole 10 nchi hii ingefika mabali
Huyu jamaa alitengemea atakula shavu?? Ila yeye kaliwa shavu!!!
watu vigeugeu na wanafiki kama huyu bwana wanaweza hatarisha maisha ya watu,yaani haeleweki hata huko ccm alipo anasimama upande gani..watu kama hawa hatari sana unaweza kaa ukajua mwenzangu tunaongea hiki kumbe akitongozwa tu huko anabadil upepoaliekua mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba leo ameibuka na kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini kuhusu katiba polepole amesema katiba pendekezwa inamapungufu kuizidi hata ya mwaka 77 tuliyonayo sasa hivyo anapendekeza kua badala ya kuipigia kura ya maoni ni vema pawepo maridhiano kwani bunge la katiba liliipoka katiba ya wananchi na kuifanya katiba ya viongozi kuhusu mgogoro wa zanzibar anasema ufumbuzi wake ulikua kwenye rasim ya warioba lakini katiba pendekezwa imeukuza sana huo mgogoro kuhusu yeye kwageuka ukawa amesema si kweli kua yeye aliwageuka ukawa isipokua ukawa walisaliti misimamo yao kwa kumkaribisha na kumpa nafasi mtu ambae yeye binafsi na wajumbe wenzie walimpinga hata akiwa ccm kwan anaamini kua lowasa hakua na uadilifu wa kumuwezesha kuleta mabadiliko chanya. kuhusu ccm na ufisadi amesema ccm ndio chama pekee hapa tanzania kuwahi kukiri kua kuna ufisadi ndani ya chama na sasa kimedhamiria kuukomesha vyama vingine havijafanya hivyo ingawa kwao pia kuna ufisadi
MUNGU ATAMUUMBUA SIKU MOJA ATAZIDI KUJIKONDEANAaliekua mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba leo ameibuka na kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini kuhusu katiba polepole amesema katiba pendekezwa inamapungufu kuizidi hata ya mwaka 77 tuliyonayo sasa hivyo anapendekeza kua badala ya kuipigia kura ya maoni ni vema pawepo maridhiano kwani bunge la katiba liliipoka katiba ya wananchi na kuifanya katiba ya viongozi kuhusu mgogoro wa zanzibar anasema ufumbuzi wake ulikua kwenye rasim ya warioba lakini katiba pendekezwa imeukuza sana huo mgogoro kuhusu yeye kwageuka ukawa amesema si kweli kua yeye aliwageuka ukawa isipokua ukawa walisaliti misimamo yao kwa kumkaribisha na kumpa nafasi mtu ambae yeye binafsi na wajumbe wenzie walimpinga hata akiwa ccm kwan anaamini kua lowasa hakua na uadilifu wa kumuwezesha kuleta mabadiliko chanya. kuhusu ccm na ufisadi amesema ccm ndio chama pekee hapa tanzania kuwahi kukiri kua kuna ufisadi ndani ya chama na sasa kimedhamiria kuukomesha vyama vingine havijafanya hivyo ingawa kwao pia kuna ufisadi
aliekua mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba leo ameibuka na kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini kuhusu katiba polepole amesema katiba pendekezwa inamapungufu kuizidi hata ya mwaka 77 tuliyonayo sasa hivyo anapendekeza kua badala ya kuipigia kura ya maoni ni vema pawepo maridhiano kwani bunge la katiba liliipoka katiba ya wananchi na kuifanya katiba ya viongozi kuhusu mgogoro wa zanzibar anasema ufumbuzi wake ulikua kwenye rasim ya warioba lakini katiba pendekezwa imeukuza sana huo mgogoro kuhusu yeye kwageuka ukawa amesema si kweli kua yeye aliwageuka ukawa isipokua ukawa walisaliti misimamo yao kwa kumkaribisha na kumpa nafasi mtu ambae yeye binafsi na wajumbe wenzie walimpinga hata akiwa ccm kwan anaamini kua lowasa hakua na uadilifu wa kumuwezesha kuleta mabadiliko chanya. kuhusu ccm na ufisadi amesema ccm ndio chama pekee hapa tanzania kuwahi kukiri kua kuna ufisadi ndani ya chama na sasa kimedhamiria kuukomesha vyama vingine havijafanya hivyo ingawa kwao pia kuna ufisadi
mganji huyo. anatafuta pakutokea tena. kwa sasa atasubiri sana. kengeele hiyo
mganji huyo. anatafuta pakutokea tena. kwa sasa atasubiri sana. kengeele hiyo
Halafu ana sura/muonekano wa kinafki sana,,labda mm ndo huwa namuona hivyo,,yaani akianza kujikunja huku akijifanya kusisitiza jambo,mikono anaiweka namna flani ivi huwa nnachoka kabisa..ni mnafki mpaka USO wake unashuhudia!Polepole alikuwaga! alisigina mtaji wake mwenyewe kwa kubadilika kutoka mwanaharakati wa mabadiliko na kuwa kada mkereketwa "vululuvululu" wa chama cha majizi ccm! He lost his major asset; MORAL AUTHORITY & CREDIBILITY; he can go hang for all I care!
Hata JamiiMedia haikuhitaji wewe, na ukiendelea hivyo nakupiga ban ya siku tatuata mwenyew haitaji kauli yako