Issue with tram at first lazima awe na
metro card...so may be awe na mwenyeji
wa kumsaidia kuinunua ... Cause NY
hawapay cash kabisaa kwenye hizo public
transport
Pia ubber ni nzuri for first day cause
itakupeleka mpaka unapoishi just kumpa
street no na avenue no...tofauti na public...
Hahaa Cha kwanza uwe makini ukifika airport Kuna mashine zile Zina maswali very tricky...soma vizuri uelewe swali ndio ujibu, usipay attention kwa wale Askari wanakuharakisha
First day lazima utumie ubber...it's safe and you can pay cash though ni expensive kidogo
Next day go and buy a metro...
Kama kuchanjwa ni hiari ya mtu wewe unaumia kwa sababu gani mkuu?
Kwani unataka tukatae kufata Mataifa mengine sis ni kisiwa kwamba we are isolated?
Kwamba we are not in a position kuwa infected na kupata severe disease?
Please kaa pembeni wewe usichomwe acha watakaotaka wachome.
Unavyoitoa...
If una mipango nae ya kuanzisha familia kindly usiombe pesa...pambana na Hali yako...but if ur just having good time muombe....na yy ataelewa uko ki biashara zaidi
Manhattan mchanganyiko wa watu ni mkubwa...kule wasenegal ndio wengi..mostly wanazungumza french...ukikutana nao very wakarimu...na wengi wanafanya biashara ya umachinga...cause Wana that movable troleys with cloths na other stuff...life of Manhattan sio expensive sana..u can survive...though...
Sure it's not true...cause mfano kutoka JF Kennedy to Manhattan ni mwendo wa Kama 45 minutes...lakini unalipa almost 60$...hapo hujatoa pesa ya fuel na tax
Watu wa IT tunaomba mtueleweshe..hivi haiwezekani kuwa na access ya kununua internate bundles outside the country? Maana wanyonge tumenyongwa sana na Bei ya bundles..tunatamani kuhamia nchi jirani...We had no way out
Nimecheka Sana hizi comments[emoji3][emoji3]..but huyu mkuu anaonekana Ana degree ya ushirikina kasoro zana za Kazi.....kupangia wenzie majukumu...wewe unajuaje Kama Ana ndugu Kijiji wanamtegemea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.