Iyo nyumba na gari kuwa nayo by 30's sio issue..Issue ni una financial freedom na nyumba na gari ulivo navo ndio ulivokuwa unavitaka kwenye izo plans zako
Binafsi na kwa umri niliofikia pamoja na mapambano ya maisha naona kufanikiwa kwa kiwango kikubwa ni namna umeweza kuzitumia fursa au bahati ulizopata sasa apa inategemea mtu na mtu na bahati yake wengine bahati inakuja direct kabisa anapata nafasi flani nzuri au dili flani na linampa mafanikio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.