Mkuu kisheria kama umepata hasara kutokana na mtu mwingine kugushi unaweza kumfungulia kesi ya madai. Ikumbukwe kuwa kesi ya madai inaweza kuendeshwa japo kuwa kulikuwa na kesi ya jinai.
Jina lake halisi ni Seth Ketende alisoma Tumaini University-Iringa Bachelor of Business Administration 2005-2008. Kuna wakati alikuwa anaimba nyimbo za injili akaacha na kuanza ulevi kiasi. Ni kweli Seth amefanya makampuni mengi tu na kuacha kazi/kufukuzwa baadae akaamua kujiajiri. Sasa kuhusu...
Kutenda tendo la ndoa? Kama shauri lipo mahakamani usubiri uamuzi Wa talaka. Sheria haimlazimishi kukupa unyumba. Ingawa kutopewa unyumba yaweza kuwa sababu ya talaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.