mka
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 318
- 82
mkuu kama ni hii bei halafu form six wakina mwana asha wanazungusha ni bora umpeleke south africa akasome huko maana fees za south kidogo ni afadhali maana fees za watu wanaotoka SADC countries wanalipa sawa na wazawa wia south africa. nakuambia ukiangalia fees za degree za UCT utashangaa sio ghali kama za uk na zina quality tu.
No kweli Mkuu Mimi ni UCT class of 2012 naunga mkono hoja yako.