KUNA WATU WANAKAA KUMLAUMU MOO TU ..MO HANA TATIZO LOLOTE LILE KUUZA WACHEZAJI NI JAMBO LA KAWAIDA KWA TIMU NA PIA LINAKUWA IMEPITISHWA NA BODI NZIMA YA TIMU..SIMBA KUTOLEWA CAF SI MAKOSA YA MO BALI WALIOHUSIKA NI WACHEZAJI KUWADHARAU WAPINZANI
WEWE UNAONEKANA NI MFAMASIA AMBAYE HAPENDI KUONA MA CO KUITWA MADAKTARI ..TOFAUTI KUBWA YA MD/NA CO NI KATIKA KUINGIA DEEP KWENYE KUSOME , ,MD WANASOMA DEEP ZAIDI KULIKO CO ILA VITU NI VILE VILE NDIO MAANA WOTE NI MADAKTARI TOFAUTI NI LEVEL ZA ELIMU
Sio siri ila naona kuna mtu kama amenisaidia ila nilichokuwa nataka kukuambia mtu amenisaidia hapo chini kuelezea ...
Muhimu kujaribu kuelezea dalili zote alizokuwa nazo huyo mtoto pale unapokwenda hospitali ili apate matibabu sahihi
ACHA MADOGO WAFAULU KAMA MITIHANI ILIVUJA HILO SIO KOSA LAO NI KOSA LA WATU WA WIZARANI KUVUJISHA.. MWANAFUNZI YEYE KAZI YAKE NI KUFANYA KAMA WIZARA WALISHINDWA KUZIBITI NI KOSA LAO SIO LA WANAFUNZI.....PIA USITEGEMEE ZAIDI KUFAULU MITIHANI YA MAKARATASI TU KWA SABABU PAMOJA NA KUWA MITIHANI YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.