bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Bila Shaka midundo ya Amapiano ndio habari ya Mjini kwa Sasa midundo ikiwa na Asili ya Afrika kusini.
Wasanii wa Kibongo nao kama kawaida wamefwata upepo na kuiga midundo hiyo Kongole kwa Kaka Alikiba katika Albamu yake sijasikia dundo lolote la kiamapiano kasimamia lile analoliamini yeye labda kama badaye atabadilika.
Kwaito na sasa Amapiano naweza kusema ni kama identify ya muziki wa Kisouth Afrika zikipigwa ngoma hizo unajua kitu cha madiba tu hicho.
Ishu ya msingi kwanini wasanii wetu hawa kina Sholo mwamba,dulla makabila,man fongo na wengine wengi wanaoimba mziki wa singeli wasifanye wanamuziki wa South Afrika wakaiga Visingeli vyao kama wao wanavyoiga Amapiano zao,Sidhani kama utaenda Jiji la Pretoria au Capetown na kusikia Visingeli vinagongwa kama sisi tunavyocheza na dundo za kiamapiano huku kwetu.
Mpaka hapo wasanii wetu wanakwama pakubwa na kuonekana wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini na kuwa kama Bendera fwata upepo,Ingependeza siku moja wasanii wa nje waige midundo yetu na sio sisi kila siku kucopy na kupaste tu midundo ya nje.
Kazi hii ni mtambuka kuanzia kwa maproducer wetu,wasanii wetu na wote wanaohusika na musiki wetu I mean wadau kutengeneza vyetu na kuvipa vipaumbele.
Weekend Njema.
Wasanii wa Kibongo nao kama kawaida wamefwata upepo na kuiga midundo hiyo Kongole kwa Kaka Alikiba katika Albamu yake sijasikia dundo lolote la kiamapiano kasimamia lile analoliamini yeye labda kama badaye atabadilika.
Kwaito na sasa Amapiano naweza kusema ni kama identify ya muziki wa Kisouth Afrika zikipigwa ngoma hizo unajua kitu cha madiba tu hicho.
Ishu ya msingi kwanini wasanii wetu hawa kina Sholo mwamba,dulla makabila,man fongo na wengine wengi wanaoimba mziki wa singeli wasifanye wanamuziki wa South Afrika wakaiga Visingeli vyao kama wao wanavyoiga Amapiano zao,Sidhani kama utaenda Jiji la Pretoria au Capetown na kusikia Visingeli vinagongwa kama sisi tunavyocheza na dundo za kiamapiano huku kwetu.
Mpaka hapo wasanii wetu wanakwama pakubwa na kuonekana wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini na kuwa kama Bendera fwata upepo,Ingependeza siku moja wasanii wa nje waige midundo yetu na sio sisi kila siku kucopy na kupaste tu midundo ya nje.
Kazi hii ni mtambuka kuanzia kwa maproducer wetu,wasanii wetu na wote wanaohusika na musiki wetu I mean wadau kutengeneza vyetu na kuvipa vipaumbele.
Weekend Njema.