Godee jr
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,906
- 2,699
Pole sanaHii ya kuficha haisaidii mkuu
Juz ndio niligundua hili
Mm nilikua na hide chat ila daa nilijiona mjinga
Pole sanaHii ya kuficha haisaidii mkuu
Juz ndio niligundua hili
Mm nilikua na hide chat ila daa nilijiona mjinga
Ilikuwaje ebu tuelezee kidogoHii ya kuficha haisaidii mkuu
Juz ndio niligundua hili
Mm nilikua na hide chat ila daa nilijiona mjinga
WhatsApp mbili zote za nini ?Wakuu naombeni msaada. Naona Sasa hivi hizi WhatsApp zote Zina link moja kwa moja na official WhatsApp. Zamani nilikua naweza kutumia official na hizi za developers Ila kwa Sasa nikijaribu kwenda play store inanionyesha kuwa tayari ninayo. Najaribu WhatsApp business lakini inagoma ku install.
Napataje WhatsApp nyingine maana nahitaji kuwa nazo 2.kwa Nina FM whatsapp
Nina kazi nazo zote mbili ndio maana nazisakaWhatsApp mbili zote za nini ?
Tumia dual app inaweza kubeba account 2 za Whatsapp kama ndo lengo lakoNina kazi nazo zote mbili ndio maana nazisaka