mambo ya msingi ya kitaifa na utaifa yanapashwa kuheshimiwa na kuenziwa.Amin alitaka kuteka ardhi ya watanzania anayesema kuwa siyo kweli basi na aje na ushahidi wa kina wa kupinga haya.akumbuke mwalimu alisema ni kwanini tunaingia vitani kama ana sababu tofauti athibitishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.