Lissu anapojitetea anatoa elimu kwa umma.
Kama uma hauruhusiwi kusikiliza hakuna sababu ya kujitetea.
Kama mimi ni Lissu nakaa kimya tu hadi waninyonge.
Hapo tuko pamoja. Umesema vizuri, haya mambo yako wazi hata mtoto anajua.
Cha ajabu Bukyanagandi anajifanya haelewi, sasa sijui tumuweke kundi gani, maana hata watoto wamemzidi.
Labda ni mzee sana kikongwe!
Amka usingizini. Trump ni puppet wa Putin.
Putin ndio alimuweka madarakani Trump kwa mara ya kwanza na ndio kamuweka tena kwa mara nyingine.
Biashara iliyopo ni kuhakikisha Putin anapata kila anachotaka, iwe ni Ukraine au kwingineko duniani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.