Nimelipia umeme hii sasa inaenda mwezi wapili na nguzo ipo ndani ya mita 30 ila sijafungiwa mpaka leo na kuna mfanyakazi wenu anaomba rushwa ya ngono ili aweze kufunga umeme kwangu tena anamuomba mke wangu na ashajulishwa na haogopi na kasema kama anataka umeme amkubalie kwanza ndio umeme uingie...
Tatizo ukiwa mvivu wa fikra na elimu ndogo ndio utafikiria huko fanya kazi hela mbona ipo nje sina cha urithi hata kimoja na wewe inaonekana ndio kati ya wale wanaokaa kijiweni wanasema maisha magumu raisi hatufai wakati mashamba yapo kibao ya kulima huko kijijini sasa wewe kaa mjini upige...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.