Kwa utaratibu zilizowekwa kuzingatiwa vinginevyo utaanza uoya......
Kama ni.....
1. Nyumba ni ya Urithi ambayo imefunguliwa Mirathi basi mikataba ya mauziano iliyofanyika Kwa Mwanasheria anayetambulika,oamoja na Hati ya usimamizi wa Mirathi ambaye naye atakupa form ya kukutambulisha kuwa wewe...
Kuna Diwani Fulani alipata shida sana alipolifuatilia swala la eneo hilo Kwa ujumla....Mwisho Diwani alinyanyua mikono juu na hatimae kukabadilishwa mpaka kati ya wilaya ya Temeke na Ilala ili kumkata kidomodomo......kazi kwelikweli, yetu macho.....
Waulize ndugu zake watakueleza ni malalamiko ya kutowashika mkono hata pale walioomba kufanya hivyo..... Wazee wa Msikiti wanahusianaje hapo.....!!!???
Nilipendekeza humu ndani Makonda aondolewe kwenye nafasi ya Ukatibu auenezi, itikadi siasa na Mafunzo, na kuwekwa kuwa Naibu PM au vinginevyo Serikalini kwani huko ndiko anafiti na siyo kwenye Siasa...... Na vilevile nilitamani sana kumuona Kijana Nape akirudi kwenye Chama kuungana na Baba yake...
Pamoja na yote "uliyotapika" sisi wenyeji na wakazi was Kusini tunajua ugomvi ulikuwa wapi...!!! Ngoja nikueleze unafahamu lile sakata la Korosho Bungeni mpaka wengine kutaka kupigiwa Shangazi zao....!!! Na hapo ndipo Korosho uzalishaji ulishuka na bei pia nani alisababisha? Kama siyo ugomvi ni...
Siyo kweli kwamba hawataki Vita..,.Lengo la NATO ni kupata wanachama ambao kwa mahitaji ya Kiulinzi/vita ikitokea kwa Maslahi ya Nchi kama Marekani au Uingereza basi huko nyuma Nchi mfano Ukraine utakuta wameweka Military Base ili iwe rahisi kwao kumuattack adui Yao...... Na hii ndicho Mrusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.