wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 491
- 764
Kufuatia pangua pangua iliyofanywa usiku huu, uwezekano upo wa mabadiliko kwenye nafasi ya katibu mkuu wa CCM taifa ambapo John Mongella aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha anaweza kupewa nafasi hiyo na nafasi ya ukatibu mwenezi taifa kuchukuliwa na Amos makalla.
Takwimu zinaonesha hao ndio Kwa Sasa wanafiti kwenye hizo nafasi na wanaonekana wanakitu Cha kuisemea serikali juu ya mambo yaliyofanywa kuliko waliopo Sasa ambao wametulia sanaaa hatuoni makeke.
Lakini ikumbukwe Mhe Mongella ni mtu makini sana hasa kwenye counter attacks kwenye masuala ya siasa na uchaguzi na amebobea sana.
Takwimu zinaonesha hao ndio Kwa Sasa wanafiti kwenye hizo nafasi na wanaonekana wanakitu Cha kuisemea serikali juu ya mambo yaliyofanywa kuliko waliopo Sasa ambao wametulia sanaaa hatuoni makeke.
Lakini ikumbukwe Mhe Mongella ni mtu makini sana hasa kwenye counter attacks kwenye masuala ya siasa na uchaguzi na amebobea sana.