Recent content by Mjimwem

  1. Mjimwem

    Tatizo gani linafanya simu kuchemka?

    Acha dharau ndug yangu
  2. Mjimwem

    Tatizo gani linafanya simu kuchemka?

    Kama huna majibu nyamanza ndugu yangu muda mwingine ukimya husaidia wala usipende kuropoka kwa kudharau watu tena usowajua.
  3. Mjimwem

    Tatizo gani linafanya simu kuchemka?

    Wakuu naomba mnisaidie simu yangu ina tatizo la kuchemka kila nifunguapo data ,nimejaribu kurestore simu zaidi ya mara tatu ili niondokane na hili tatizo la kuchemka kwa simu yangu lkn naona bado iko vile vile mpaka ss inachemka ,pia betri lake ni unremovable ,nimejitaidi kuondoa app zisizo za...
  4. Mjimwem

    Tahadhari kwa wauza simu humu kuna utapeli mpya umeingia

    Dah pole sana kwa yaliyokukuta lkn usiwe unaweka uaminifu ktk pesa ,ni kheri akupe cash kuliji maandishi ya pesa na kumbuka hawa watu wa mitandao wengi wao hawana wema.
  5. Mjimwem

    Nauza godoro, magodoro ya Dodoma .

    Mbona nimeeleza nipo shinyanga mjini hapa .mawasiliano 0629166514
  6. Mjimwem

    Nauza godoro, magodoro ya Dodoma .

    Size yake ni 4/kwa 6
  7. Mjimwem

    Nauza godoro, magodoro ya Dodoma .

    Nimefanya juhudi zangu zimegonga mwamba ,sawa ningekuwa na ndugu ambao wana uwezo nisingeuza mali yangu lkn nimefanya hivi baada ya kuona sina msaada zaidi ya kuuza nilichonacho.
  8. Mjimwem

    Hii ndio Iringa halisi na watu wake

    Duuhh iringa naipendea watt wa kike wazuri mpaka sasa nina mategemeo ya kuoa iringa
  9. Mjimwem

    Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

    Ukijiona huna pesa wengine wanapesa kijana mdg alikuwa na pesa kama chawa !!!duuhh kumbe umaskini ni wangu tu
  10. Mjimwem

    Nauza godoro, magodoro ya Dodoma .

    Naitwa William nipo shinyanga ,kama mnavyojua ukipatwa na shida ulichonacho ndo kinakusaidia ,nimekuja mbele yenu wadau kama sehemu ya kutatua shida yangu kupitia godoro langu Ninauza jamani maana nimepata tatizo ambalo limemkuta ndugu yangu ktika mihangaiko ya maisha yake nami ndo msaada...
  11. Mjimwem

    Jifunze njia rahisi ya ku-root simu

    Jamani kwa tecno tusidanganyane hazikubali
  12. Mjimwem

    Mtoto wa Darasa la Tatu ajiandika tatoo jina la 'demu' wake Ratifa

    Ulimwengu huu una vioja ss dogo hupata mzuka gani ??
  13. Mjimwem

    AJALI: Watu kadhaa wafariki wakitokea Rombo kwenye Miaka 40 ya CCM

    Hukumu ni hapa hapa duniani ,ila CCM wanajidhamini sana yaani kwa makada wao wanatumia R.I.P lakini kwa ss CDM kuaga tu ni taabu mnoo hawataki !!!!ummmmhhh
  14. Mjimwem

    MAUTUNDU: Namna ya kusoma chat za mwenzako za WhatsApp bila yeye kujua

    Mkuu huu ni uongo mtupu wala haifanyi kazi hata kidogo
  15. Mjimwem

    NAOMBA MSAADA .

    Simu yangu ina support 2G only .sada kama kuna namna nawezq iflash network ikakamata 3G mnisaidie ujuzi huo nami nifurahie internet maana ss hata kuwatch youtube siwezi kabisa ,naombenj mnisaidie kwa hili sasa ,simu yangu ni Samsung Duos GT-S7262.
Back
Top Bottom