Mjimwem
Member
- Jan 27, 2017
- 24
- 13
Naitwa William nipo shinyanga ,kama mnavyojua ukipatwa na shida ulichonacho ndo kinakusaidia ,nimekuja mbele yenu wadau kama sehemu ya kutatua shida yangu kupitia godoro langu
Ninauza jamani maana nimepata tatizo ambalo limemkuta ndugu yangu ktika mihangaiko ya maisha yake nami ndo msaada kwake
lakn nazunguka kote kutafuta mteja wa godoro lkn simuoni na ndugu yangu anatakiwa atibiwe mapema na matibabu yake lazima pesa ikamilike ,ninachoomba kwa mwenye mahitaji na godoro naomba tuwasiliane 0629166514,
NAOMBENI KAMA WADAU AMBAO MPOO SERIOUS NUNUE HILI GODORO BADO JIPYA SIJAWAHI KULITUMIA HATA MARA MOJA ,NIMENUNUA 88,000 LKN KWA SHIDA NILIYONAYO NAUZA ELFU 70,000
PIA KUNA RISIT YAKE NAKUPATIA BILA TAABU ,NACHOOMBA MNISAIDIE IPI NIWEZE KUFANIKISHA HILI ZOEZI LA NDUGU YANG APATE MATIBABU ,
Ninauza jamani maana nimepata tatizo ambalo limemkuta ndugu yangu ktika mihangaiko ya maisha yake nami ndo msaada kwake

NAOMBENI KAMA WADAU AMBAO MPOO SERIOUS NUNUE HILI GODORO BADO JIPYA SIJAWAHI KULITUMIA HATA MARA MOJA ,NIMENUNUA 88,000 LKN KWA SHIDA NILIYONAYO NAUZA ELFU 70,000
PIA KUNA RISIT YAKE NAKUPATIA BILA TAABU ,NACHOOMBA MNISAIDIE IPI NIWEZE KUFANIKISHA HILI ZOEZI LA NDUGU YANG APATE MATIBABU ,