Recent content by mjax

  1. M

    Ushindi Mnono Shamrashamra hakuna, Je ni aibu ya kujitangaza kwa mabavu?

    Hahahahahahahah ichi kituko hakijawahi kutokea eti washinde kata 42 wasishangilie ajabu sana hii kwokwikwikwikwikwi
  2. M

    Balozi Chokala aeleza walivyomsafirisha Dk. Shika kijajusi

    Natamani sana nimwamini Balozi mstaafu lakini kuna ka'kitu kananishangaza kidogo, WHY DK. SHIKA kutoroshwa kwa ndege ya Malkia...........??
  3. M

    Waziri wa fedha: Deni la taifa limeongezeka kwa asilimia 17 ndani ya mwaka mmoja

    Asee ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu si walidai reli ya SG inajengwa kwa fedha za ndani
  4. M

    Karibuni tupeane Majina mazuri ya watoto

    Hahahahahahahah ilo la kiume
  5. M

    Tupeane uzoefu wa kuweza kuchukua hela ya madai NSSF

    Nakumbuka ilinichukua kama mwezi hivi ila ni baada ya kwenda pale nimevimba balaa nikiwajibu ovyo na kwa ukali tarehe waliyonipangia iyo siku ndio ikawa ya mwisho nikachukua cheque straight to CRDB the same day nikang'oa mpunga wangu
  6. M

    Ooh bodi ya mikopo tutazameni watoto wa wakulima

    Hawa watu ni jipu lingine la kutumbuliwa haraka Sana, tunauhitaji mkubwa sana wa kufaham serikali imetoa kiasi gani kwenye budget kwa ajili ya mikopo na kiasi gani kimetokana na marejesho ya waliopo makazini sababu kuna kaharufu kaufisadi kwenye bodi ya mikopo
  7. M

    CRDB Salary Advance

    Kwa hiyo kwa private sector ambao nao mishahara inapitia CRDB haiwahusu..??
  8. M

    Zitto Kabwe: Na wewe upewe nishani ya kufungia magazeti mengi katika muda mfupi tangu Uhuru 1961

    Duuuh kwa hiyo siku hizi hata mtu ukiligundua kosa lako na ku-apologize still unakula rungu...?? Huu sasa uonevu katika ubora wa hali ya juu
  9. M

    Dr Kijaji: Kuanzia sasa mashine za EFD zitatolewa na TRA pekee!

    Kwa nini wasitoe mashine bure sababu mwisho wa siku watakusanya mapato
  10. M

    MS Application

    Wataalamu wa mambo, natamani kuifahamu hii application inatumikaje kwenye smartphone
  11. M

    Wizi wa Magari: Godbless Lema achunguzwa na Polisi

    Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaahahahahahahaahahahahahahahahahahahahaha mnahangaika mpaka huruma, Arusha jimbo halirudi CCM hata mtembee bila nguo... mshachokwa bora mtulie tuuuu Arusha hata jiwe litachaguliwa sio CCM.."PERIOD"
  12. M

    Ninayo hakika Lissu atarejea si kama Lissu aliyezoeleka

    Hata ukitimia wewe inakusaidia nini masta, au ndio kusema roho yako imesuuzika kama vile utaishi milele kama malaika Hahahahahahahahahaha pole sana ndugu mjumbe na tunashukuru kwa mchango wako..
  13. M

    Kiukweli Bunge limekuwa imara zaidi katika awamu ya 5

    Wasiopenda kukosolewa ndio washangiliaji wa haya mambo ila mtu mwenye akili timamu huwezi mshawishi kwa hoja za ajabu kama hizi... Pole sana brother kachukue buku 7 yako ukailishe familia yako..
  14. M

    Dodoma: Polisi wakamata bajaji iliyoandikwa Mange Kimambi

    Hahaha na mimi nimeiandika nyumba yangu hapa Mange Kimambi nawasubiria kuja kuikamata
Back
Top Bottom