Recent content by Mitomingi21

  1. Mitomingi21

    Kigogo Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro ahukumiwa miaka mitatu jela au faini ya 700,000

    Sasa si bora angemwachia huru tu kama hao wengine ,yaani kasababisha hasara ya milioni 133 harafu faini laki saba daaaa.
  2. Mitomingi21

    TANZIA: Mchezaji wa Mbao FC afariki baada ya kuchezewa rafu na mchezaji wa Mwadui FC

    Wakati akishangilia goli lake kuna style aliitumia,Nadhani inaweza kuwa imechangia kwa kiasi fulani lakini yote kwa yote Mungu ndiye ajuae siri ya kifo,Na hakuna ajuae R.I.P. Ismail.
  3. Mitomingi21

    MSIBA: Nimefiwa na Mama yangu mzazi

    Pole sana mkuu ,najua unapitia kipindi kigumu sana,Mungu akupe moyo wa uvumilivu R.I.P. Mama yetu!
  4. Mitomingi21

    Tukio usilolisahau ukiwa Primary School

    Niliwahi kumuwekea kipande cha kioo chini dada mkuu ili nione kavaa chupi ya rangi gani, Aiseee kipigo nilichopata siku hiyo huwa sisahau ,kwa sababu nilifungiwa ofisin walipiga walimu wote siku hiyo.
  5. Mitomingi21

    Chama cha Mapinduzi(CCM) wamtoa machozi Eric Shigongo, wamwambia kunywa maji

    Ndio maana wakati wa kampeni zangu sikupewa wala kupokea mahela ya wafanyabiashara ,"Na kama yupo mfanyabiashara ambae alinichangia chochote wakati wa kampenio aseme ".
  6. Mitomingi21

    Mnaopanga kununua ndege kwa kulipa fedha taslimu pitieni hapa kabla hamjaendelea na mipango yenu

    Mkuu nimeona hiyo taarifa saa mbili ITV nikajua ni movie watu wanatengeneza siyo hali halisi kumbe ni kweli ,Duuuu inasikitisha sana.
  7. Mitomingi21

    clouds wanatumika kuichafua simba

    Nilimsikia Shafii siku ambayo Yanga walifungwa na Mbeya city aliongea kwa hisia kabisa kwamba goli la pili ambalo walifungwa Yanga walionewa, Sijui alitumia sheria zipi . Pili mashabiki ,wanahabari na viongozi kwa ujumla walianza kupenda hivi vilabu kabla ya kupenda mpira ndio maana linapokuja...
  8. Mitomingi21

    Mfahamu ndege Tai na tabia zake

    Story safi sana ,kumbe ndo maana Marekani ipo juu kama tai wanatuchora tu .
  9. Mitomingi21

    Pascal Mayalla: Rais punguza ukali

    Mkuu kwanza hongera kwa kazi nzuri,ila nakuomba siku mkipewa nafasi ya kukutana na muheshimiwa rudia swali lile lile ulilomuuliza mkiwa Ikulu, kwa sababu mi naamini hakukujibu swali lako zaidi ya kukwambia Mayalla oyeee.
  10. Mitomingi21

    Nataka kumpeleka mke wangu chuo lakini roho inasita

    Huu ndio ushauri wa kumpa,mwanamke mjengee uwezo wa kujitegemea ungali hai,kusoma sio kila kitu jaman utakuja kulalamika tena mkeo kasoma amekosa ajira. Pili kama ni elimu wekeza kwa watoto . Over.
  11. Mitomingi21

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Mkuu mi mwenyewe nilibaki nimeduwaa,Mpaka leo sielewi waliiruhusu vipi harafu ipo tu unaipata kiurahisi kabisaa,lakini nasikia yule dada kalipwa pesa nyingi sana kucheza zile sehemu.
  12. Mitomingi21

    Kuzaa kabla ya ndoa, nini sababu?

    Umemaliza majibu yote feitty,lakini mimi naona familia ambazo wamelelewa katika mazingira ya kuheshimu na kumuogopa Mungu,afadhari kidogo sio wahanga wa tatizo hili.
  13. Mitomingi21

    Jamaa amekataa kwenda kumuona mke wake hospitali kisa kajifungua mtoto wa kike

    Kweli binadamu tunatofautiana mi naomba usiku na mchana Mungu anijalie mtoto wa kike,Mwingine anamkataa daaaaa.
  14. Mitomingi21

    Upumuaji (ventilation)

    Hivi ndo vitu vya kuleta humu ,shikamoo.
  15. Mitomingi21

    Mwana JF share weakness yako

    Sipendi kuona mtu anaonewa kabisaa,yaani niko radhi kusimamisha shughuli zangu zote ili nimsaidie anaeonewa nikishamsaidia moyo wangu unakuwa na amani sana.
Back
Top Bottom