1. Naenda zangu Nairobi, msibani, niko na familia na mama mzazi, kupitia border ya Isbania, mwenzangu ndo kwao huko, kabla nishawahi kufika ila nilipitia boda ya Tarakea, baada ya kuvuka akaniambia nenda ukachenji pesa. Nilikuwa na 500,000/= ya Tanzania.
Ukivuka tu boda Sirari pembeni kuna...