Recent content by Mission

  1. M

    Msaada anayejua tiba ya flatulence/ tumbo kujaa gesi

    Asante..... Mafuta ya nyonyo nitayatoa wapi mkuu?
  2. M

    Msaada anayejua tiba ya flatulence/ tumbo kujaa gesi

    Aisee najamba mnoo kila mara ndo nataka kujua namna ya kuacha... Nakosa raha nikiwa kwa watu wengi
  3. M

    Msaada anayejua tiba ya flatulence/ tumbo kujaa gesi

    Jamani anayejua tiba ya tumbo kujaa gesi naomba anisaidie
  4. M

    Tumeshindwana na aliyekuwa mpenzi wangu, nimempeleka mahakamani, sasa anaomba msamaha

    Unataka utajirikie kwake? Haya akikulipa hiyo faini ukumbuke kutoa sadaka.
  5. M

    Wanaume acheni kurubuni mabinti wadogo

    Wakubwa mnaringa sana acha tujisevie watoto wabichi
  6. M

    Hivi kuna watu bado wanaamini wakiingia kwenye ndoa hawatasalitiwa milele?

    daaaah!!!! unajiamini eeeeh? kila la heri
  7. M

    Ujumbe kwa marafiki wote wa MMU

    There you are, nothing to add.
  8. M

    Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

    Basi sawa. Maisha lazima yaendelee
  9. M

    Nimekutana na 'first boyfriend' anataka turudiane

    Hauwezi kuchomoka hapo. Huyo lazima akutafune halafu atakutema sio mda. Utabaki unaugulia tu huku yeye, kama kawaida ya wanaume akijisifia kwa kukutafuna. haaaàahaaaaaa!!!!!!
  10. M

    Kanitafutia kazi sasa nimekuwa mtumwa wa ngono

    Acha kazi. Thamani yako ni kubwa kuliko hiyo kazi yako. MUNGU akutangulie Amen.
  11. M

    Kinadada mtalia sana kwa kutojielewa

    Ndipo uwezo wao wa kufikiria ulipoishia
  12. M

    Je, Kuna kosa kumsifia mtu wa jinsia yako awe Me/Ke?

    Labda nisifiwe na mwanamke ila mwanaume mwenzangu mhhhhhh!!!! hapana
  13. M

    Sexual Immorality

    Dada kusubiri tena? Me Nina miaka 25 nataka kuoa nikifikisha 35 unadhani nitaweza kusubiri? Ngumu kumeza hii
  14. M

    Ukiona haya kwa mkeo kuwa dikteta haraka

    Me nimeamua kuwaachia dini zao maana nimechoka na tabia zao mbovu. Endeleeni Nazi tu me sina kazi nazo
Back
Top Bottom