netti mimi
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 147
- 108
Habari za sasa hivi wakuu,
Napenda kuchukua nafasi hii kuwasihi wanaume waache tabia za kuwalaghai mabinti angali bado wadogo ili watimize haja zao, sio vizuri.
Unamkuta mwanaume anamlaghai hata binti wa shule ili tu amharibie maisha yake. Sijajua tatizo nini, jamani mjiheshimu wanaume.
Binti unakuta anatoroka hadi kwao kisa mwanaume na wewe mwanaume umetulia tulii upo na binti wa watu.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwasihi wanaume waache tabia za kuwalaghai mabinti angali bado wadogo ili watimize haja zao, sio vizuri.
Unamkuta mwanaume anamlaghai hata binti wa shule ili tu amharibie maisha yake. Sijajua tatizo nini, jamani mjiheshimu wanaume.
Binti unakuta anatoroka hadi kwao kisa mwanaume na wewe mwanaume umetulia tulii upo na binti wa watu.