Recent content by miss_mbeya

  1. M

    JamiiForums Tanzania Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

    Real?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Movie gani imekubamba mwaka huu 2023 so far

    Green miles
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Heloo.mkuu sorry naomba mdaada cm yangu nikifungua hasa picha hazionyeshi ila zamani nilikuwa nikifungua zinafunguka sijajua km.kuna mfumo mpya hapa jf au application gani nitumie niweze kuona picha cm yangu ni Samsung A 11
  4. M

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Heloo.mkuu sorry naomba mdaada cm yangu nikifungua hasa picha hazionyeshi ila zamani nilikuwa nikifungua zinafunguka sijajua km.kuna mfumo mpya hapa jf au application gani nitumie niweze kuona picha cm yangu ni Samsung A 11 mdaada please
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko hai sababu ya mtoto wangu

    Pole sana my dear ,duniani hakuna kukata tamaa,changamoto tumeumbiwa binadamu ili tuzikabili nankadri unavyopitia changamoto akili inajengeka as unakuwa strong ila sugu ,Muombe Mungu akushindie hiyo/hizo changamoto ,tunapitia wengi but but tunasimama na kumuomba Mungu na kusonga mbele ili tulee...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mzee John Malecela atua Jijini Dar es salaam kwa ajili ya kushiriki msiba wa Mwanaye

    watoto wa Mzee Malecela waliotangulia “mbele za haki” ni: 1). Senyagwa Malecela 2). Dkt. Irene Malecela 3). Mkwavi Ipyana Malecela 4). Dkt. Mwele Malecela, na 5). William Malecela (Le Mutuz) duniani kuna watu wanapitia magumu sana.
  7. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

    Sorry hivo mabebez ni nini?
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kupoteza Hamu ya Ngono kwa Mume Wangu: Je, Mimi Nipo Peke Yangu?

    Nina miaka 12 kwenye ndoa
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kupoteza Hamu ya Ngono kwa Mume Wangu: Je, Mimi Nipo Peke Yangu?

    Kwa ambao hayajawafika mwaweza comment vibaya ,hii hali wanawake wengi sana inawapata,hata mimi lakini nimejifanyia tathmin ,mume wangu yupo very rude ,yaani ni mtu wa kufoka sana na mwepesi wa hasira hivyo kipigo hata kwa kosa dogo atakupiga ,kwa familia ni baba bora sana ,ila kwa mke kafail...
  10. M

    JamiiForums Tanzania It’s a Boy

    Hongereni sana ,tunamshukuru Mungu kwa jambo ,tunawaombea mama na mtoto afya njema
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukibadili mke zaidi ya mara mbili mwenye shida ni wewe

    Wanawake ni wavumilivu sana katika ndoa ,chanzo cha ndoa kuvunjika asilimia kubwa chanzo ni me ,hii ni sindano
  12. M

    JamiiForums Tanzania Madini yetu, kazi zetu

    Waziri wetu but hayo yote yanafanywa na wa chini yake ila sifa zinakwenda kwake big up
  13. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mbunge wa zamani, Nimrod Mkono amefariki dunia nchini Marekani

    Jamani mimi picha hazifunguji kuna shida gani?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tunawasaidiaje hawa Yatima?

    Ni kijana aliezaliwa 1991,masomo ya arts ,connection nimeshindwa mkuu kama unaweza nisaidia please naomba msaidie
Back
Top Bottom