Recent content by miss tassi

  1. M

    Diamond Jubilee Hall ipo sehemu gani kwa Dar es Salaam nimeitwa Interview

    Kuna watu wana majungu humu kama hutaki kumuelekeza potezea, na inawezekana wote mliorusha vijembe mko huko bush hamjui hata dar ikoje.
  2. M

    Tangazo la kazi TRA july

    kwa hiyo wewe majukumu unayoyajua ni kazi tu, husomi taarifa vizuri unakurupuka kama umetoka kuamka kama huna hyo link kaa kimya.
  3. M

    Tangazo la kazi TRA july

    Wana jf naombeni msaada nimeitwa kwenye interview na TRA kutokana na majukumu sikuweza kuhifadhi tangazo la nafasi za kazi plz mwenye link naomba aiweke hapa. Msaada wenu unahitajika.
  4. M

    Kituo cha Ubungo Bus terminal Kimehamia Simu 2000

    hapatakuwa na wapiga debe wala makonda hawataruhusiwa kupiga debe, ni kimya kimya.
  5. M

    Usaili chuo cha Mount Meru Arusha

    Habari wana jf Naomba kuuliza kama kuna watu waliitwa kufanya usaili chuo cha Mount Meru Arusha nafasi ya tutorial Assistant
  6. M

    Ushauri wenu muhimu

    habari wana ndugu? Hivi kwenye dunia ya sasa hivi kuna wanaume wanaopiga wapenzi wao, nasisitiza wapenzi na sio mke
  7. M

    Can you do it

    wanaume wa siku hizi ni majanga me wa kwangu tumeanza kujenga maisha vzr alivyonunua tu gari nilikuwa namuona sasa mda wote anazunguka na watt wazuri kwenyw gari full bata me tena tuliyekuwa tunashauriana nikapitwa na fassion. jamani achene tu...
  8. M

    Mchumba rasmi wa snura(mamaa wa majanga)

    ya kwao hayatuhusu...
  9. M

    Kutendwa kumenifanya nisijielewe

    songa mbele mdada utapata mwenye mapenzi ya dhati muache huyo na tamaa zake, pia usikubali kurudia matapishi atakuona mnyonge ameshalipata huko alikotoka
  10. M

    Hivi huu ujasiri binadamu anautoa wapi?

    Mtu yeyote aliye mstaarabu na anauoga na Mungu hawezi fanya ujinga huo, hiyo kitu naichukia sana kama umeamua kuwa na michepuko guest ziko kibao mpeleke huko. Kwann kitanda unacholala na mkeo/mmeo. Watu kama hao nawaita malimbukeni
  11. M

    Wanaume wanaopigwa vibuti na wapenzi/wachumba wao ni useless

    jaman topic imenigusa sana me wa kwangu tukigombana hataki muongee mpate suluhu, hatapokae cm wala kujibu msg cku akijisikia atapokea call yako na hatataka muongelee tatizo lililopo na mara zote yeye ndie chanzo cha ugomvi, mara zote mi ndio nambembeleza. Nimefanya hivyo mara nyingi kwa sasa...
Back
Top Bottom