Recent content by Miss moro

  1. Miss moro

    Barua ya wazi kwa Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

    Namba ya simu umesahau mkuu
  2. Miss moro

    Msaada: Ninawezaje kupokea pesa zaidi ya milioni 100 kutoka nje ya nchi kuja Tanzania

    Hicho kipengele cha juu niliwaza isije ikawa hivyohvyo
  3. Miss moro

    Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Ukiwa unacheza mnanda kamaa GITA limefungwa mtaani Goma likikolea wakitia kibwagizo "mikono juu mikono juu" usinyooshe ile kususha chini kama men mfukoni washapita navyo kitambo ukijisachi hamna kitu
  4. Miss moro

    Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Singeli ni zao la KIGODOLO virtua DJ ndo ilihasisi SINGELI Madogo walianza kwa kuzikimbiza taarabu wanapandisha pinch taarabu inaenda mperampela huku wanaingiza vionjo vyao na virtuar dj baadae wakawa wanaingiza mashaili yao Sasa kukiwa na kigodolo mtaani mtu anachukuaa mic anatambaa na biti...
  5. Miss moro

    Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Yeah! Yeah walikuuwa na kibwagizo chao Maswala kudensa ooh Maswala kubembea ooh Kwaa jinsi familia yangu ya upande wa mama ikivyokua inaishi ningeendelea kuishi MWANANYAMALA hakika ningepotea mabinti nilichoza nao na washkaji asilimia kubwa wamepoteza kabisaa
  6. Miss moro

    Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Kwenye msiba MORO kumzika nilikuwepo Alikuwa anaenda kumzika SHANGAZI yake naye akapatwa na umauti wakati anaenda kuzika
  7. Miss moro

    Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Haaaaa mnanda ikishafika mida ya hatari vijana washavurugwa hiyo kumtoa mwali uzalamoni Basi watagonga hii ngoma "Watoto nyinyi ee Kwanini hamsikii Kila mnapoambiwa Hamtaki kuelewa Fujo mnatuletea Kwenye shughuri za watu Tunawaomba nyieeee.... Mnanda a.k.a 'GITA' Ikipigwa live na debe lile...
  8. Miss moro

    Msaada wa kupiga window kwenye macbook pro

    kila nikifanya naferi sijawahi fanikiwa kabisa ni ngumu kuwezekana
  9. Miss moro

    PC imegoma kuBoot

    umejuaje kama ipo sawa wakati umeandika inasema HARD DRIVE IS NOT INSTARED hujanijibu ni brand gani mana dell zina mchezo ukitoa kitic HDD haisomi au lah Check Bios pengne imejidefault kwenda UEFI Boot mode sasa change iwe legacy BIOS boot mode ili ione mfumo wa MBR wa HDD yako
  10. Miss moro

    PC imegoma kuBoot

    laptop yako ni aina gani ni DELL ? ushauri kwanza fungua check HDD kama ipo connected vizuri sababi kwa maelezo yako ni kwamba hapo HDD haijasoma eidha imetochomoka au BIOS setup settong zimezingua
  11. Miss moro

    Samsung Galaxy A10, 20, 50, 90

    ndo mana kule juu nikamshauri agharabu A50 iko vizuri zaidi ya sana ila si A10 au 20
  12. Miss moro

    Samsung Galaxy A10, 20, 50, 90

    uwongo upi ukweli upi wewe umezoea simu camera kari gb16 batter kutunza moto usharidhika lkn wanaojua simu 7bu wanajua kadri unavyojaza apps itakusumbua ndo mana ushauri simu zenye uwezo mkubwa kwa gharama nafuu
  13. Miss moro

    Samsung Galaxy A10, 20, 50, 90

    hardware zake lowtech ambazo hata tecno anatumia kwenye simu zake hvyo lever kama za spark 2 na wenzake hao ila samsung kacheza na camera battery kutunza moto pamoja na storage kuna wenzangu na mm hao wakisikia gb32 halafu kwa 250k kwa samsung wanachachawa
  14. Miss moro

    Karne na Zama Wanaume Zimebadilika ila sio kwa hizi sifa

    Mwanamke kazi yake sio kupika MWANAMKE kazi yake ni kujiremba na kumstarehesha mumewe jukumu la kupika ni la mwanamme sasa kama atapika mwenyewe au ataajiri mfanya kazi ni mume ndo atajua hvyo mwanamme kusifiwa kupika na mkewe ni jambo la kawaida ni moja katika majukumu yake MWANAMKE kupika...
  15. Miss moro

    Samsung Galaxy A10, 20, 50, 90

    sio mbaya iko vizuri hasa camera yake nzuri sana ya mbele na ya nyuma poa inatuza chaji vizuri
Back
Top Bottom