Kuosha na maji nyumbani kwako yaani uende ukutemaji kwenye ndoo paaap unaiosha kanunu kako thubutuuuu. futi achana na maji yaliyotuama ni hatari sana kwa nunu aisee sigusi hayo maji
Heee wewe wa February unalalamika? Mimi ni wa Dec 2025 nikaenda March hapo wakaniambia bado.... lile jicho nililowapa waliogopa wote wakaniambia kwani imekuwa je? inikawauliza so mnaona ni normal kabisa kunijibu hivyo walifuatilia kwa ukaribu sana na kunijia na jibu system ina shida. Naenda tena...
Ndugu Tanga haikunjaa sababu ya Eid hapana ni sababu kulikuwa na maafali ya kidato cha sita St. Christina pale Kange.. hivyo watu wengi walikuja kwa ajili hiyo ukizingatia kamji kenyewe ndio hivyo. achilia mbali Abood iliyotoka Dar waje leo waondoka leo pia, vinginevyo TANGA raha tuu hina na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.