Nimeitwa nimepewa barua ya likizo y asiku 60 imenilazimu kwenda likizo ya siku 60 nitarudi tarehe 17.03.
Jana nilikwenda Makao makuu... nitaku lkizo ya siku 60 Mungu akipenda nitarudi 17.03. Bado kiroho tutawakuwa pamoja......... Ila asingweza kusema hivyo tayari
Ndio sio mtii angekuwa mtii asingesema imemlazimu..................
Nina likizo ya siku 60 nitaianza kesho nitarudi tarehe 17.03 na nitariport makao makuu
Ha ha ha ha nimecheka kifala hii nyumba sio yako na wala haiko Bunju nini unavyosema iko huko Goba hii nyumba ni ya bwan ......... na mama ........... wako very happy married ya 18yrs na blessing ya watoto wawili me na ke
Malezi ya ajabu sana mno sitaki hata kuyakumbuka asante BABU kwa ile caring yako unahakikisha nimekula nimeshiba ndio nirudi nyumbani nikalale tuu na hapo na maji ya kunywa unanipa mimi inakuwa ni kitanda tuu na mahali pa kuoga na kubadili the rest are history.
Asante dunia niliiona na kuijua...
Baba O na M
Bado ile 1M yangu inaniuma usione huna mafanikio ukadhani kwamba muda bado kuna machozi yangu hapo amini nakuambia jitahidi unirejeshee hiyo hela toka mwaka 2017 uliona wapi?
Kwa uelewa wangu heunda alimwambia kama hao wakitoka bungeni atawaleta wengine? sioni ubaya maana aliesababisha hizi vurugu ni Mwendazake so sio mbaya kuanza upya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.