Recent content by Miss Madeko

  1. M

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Nadhani mimi na wewe hatujaachana kabisa.... kuna saa unasikia sijui waziri huku sijui hata kama kuna waziri
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nadhani ili Taifa lipone, Samia ajiuzulu. Kinyume na hapo vikwazo kutoka nje ya nchi vitaongezeka, misaada itafutwa na maisha yatazidi kuwa magumu

    Na sijui ansubiri nini................. lilikwa wazo baya sana kwa yeye kugombea kipindi cha pili
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake tumieni maji badala ya tishu

    Kuosha na maji nyumbani kwako yaani uende ukutemaji kwenye ndoo paaap unaiosha kanunu kako thubutuuuu. futi achana na maji yaliyotuama ni hatari sana kwa nunu aisee sigusi hayo maji
  4. M

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali imeanza Mchakato wa Uraia Kwa Clatous Chama

    Kwani huyu kuna sehemu amewahi kuwa nazo? twende ane huvyohivyo tuu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Niliomba passport, miezi karibia miwili imepita naambiwa taarifa zangu zimeliwa!

    Kwa maana hiyo nikienda bado shida ipo pale pale?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Niliomba passport, miezi karibia miwili imepita naambiwa taarifa zangu zimeliwa!

    Heee wewe wa February unalalamika? Mimi ni wa Dec 2025 nikaenda March hapo wakaniambia bado.... lile jicho nililowapa waliogopa wote wakaniambia kwani imekuwa je? inikawauliza so mnaona ni normal kabisa kunijibu hivyo walifuatilia kwa ukaribu sana na kunijia na jibu system ina shida. Naenda tena...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vodacom kufanya mabadiliko makubwa usiku wa leo, Aprili 1, 2026

    Kama kuna deni la songesha litaisha?
  8. M

    JamiiForums Tanzania CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338

    Ha ha ha ha ha ha nimetamani kujua kama nimeelewa sana.
  9. M

    JamiiForums Tanzania CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338

    Huyu Makonda ndio mwizi no 1 wa Tanzania.
  10. M

    JamiiForums Tanzania 🚨 CC: Mwenyekiti, Mheshimiwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman.

    Report kwani ipi? na kama ipo mbona haitoki au walikuwa wanammezesha huyo Bibi aielewe kila dot na coma na nukta?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Inakatisha tamaa kulipa kodi katika nchi yetu, mafisadi hawana cha kuogopa

    Unaweza kuwehuka na rais anasema watajwe ili waone aibu na sio kuwajibishwa hapana ni waone aibu. Sijui wanatuchukulia je sisi wananchi kabisa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tanga Mjini Lodge/Guest house zimejaa hadi j4

    Ndugu Tanga haikunjaa sababu ya Eid hapana ni sababu kulikuwa na maafali ya kidato cha sita St. Christina pale Kange.. hivyo watu wengi walikuja kwa ajili hiyo ukizingatia kamji kenyewe ndio hivyo. achilia mbali Abood iliyotoka Dar waje leo waondoka leo pia, vinginevyo TANGA raha tuu hina na...
Back
Top Bottom