Recent content by Miss Madeko

  1. M

    Vodacom kufanya mabadiliko makubwa usiku wa leo, Aprili 1, 2026

    Kama kuna deni la songesha litaisha?
  2. M

    CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338

    Ha ha ha ha ha ha nimetamani kujua kama nimeelewa sana.
  3. M

    🚨 CC: Mwenyekiti, Mheshimiwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman.

    Report kwani ipi? na kama ipo mbona haitoki au walikuwa wanammezesha huyo Bibi aielewe kila dot na coma na nukta?
  4. M

    Inakatisha tamaa kulipa kodi katika nchi yetu, mafisadi hawana cha kuogopa

    Unaweza kuwehuka na rais anasema watajwe ili waone aibu na sio kuwajibishwa hapana ni waone aibu. Sijui wanatuchukulia je sisi wananchi kabisa
  5. M

    Tanga Mjini Lodge/Guest house zimejaa hadi j4

    Ndugu Tanga haikunjaa sababu ya Eid hapana ni sababu kulikuwa na maafali ya kidato cha sita St. Christina pale Kange.. hivyo watu wengi walikuja kwa ajili hiyo ukizingatia kamji kenyewe ndio hivyo. achilia mbali Abood iliyotoka Dar waje leo waondoka leo pia, vinginevyo TANGA raha tuu hina na...
  6. M

    Wamemuasili mtoto wangu bila kunishirikisha

    Dada kama hana shida yoyote acha tuuaendeee kulelewa huko atakutafuta tuu narudia tena ATAKUTAFUTA Tuu hakuna namna
  7. M

    Ukikamatwa na Afisa wa LATRA barabarani, tulia kama unanyolewa. Sheria imewapa nguvu sana

    Achana na LATRA kuna hawa wa parking siku hizi wametufuata majumbani imaging unapack gateni kwako anakuja mtu anascan... kuna mmoja nusu nimpige na jinsi alivyo kiazi nikamkuta tena mara ya pili anascan, namuuliza anasema boss katuambia hii barabara inatoka hivyo tupite pia huku. Hii...
  8. M

    Nataka kuoa ila sina mahari, nimeamua kuitafuta kwa njia ya Kubet. Nina mtaji wa Tsh. 50k

    Na inategemea naoa mwanamke wa aina gani. Sio wote wanajua maana y akutafuta hela wengine wamezoea kuletewa mpaka ya kunua pedi wee huogopi?
  9. M

    Nataka kuoa ila sina mahari, nimeamua kuitafuta kwa njia ya Kubet. Nina mtaji wa Tsh. 50k

    Sasa unaoa huku huna mahari na sio Mahali... mkeo utamtunza je? tafuta hela kwanza
  10. M

    Kila kitu kinapita kwenye hii dunia ila media imeniachia kumbukumbu nyingi sana

    Halafu kuna mimi ambaye sijawahi sikiliza Kiss what.... angalao BBC naangaliwa kwa dhumuni maalum
Back
Top Bottom