Recent content by Miss Madeko

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hii screenshot ya huyu dada imekaaje ?!

    Hata sijui nacheka nini jamani.............. wanaume jamani khaaaa si angeiba ndala tuu tujue moja ni mdokozi basi
  2. M

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Kwamba wewe unasema sio malezi? Hivi kweli umlee mtoto kwa upendo na bado awe na nguvu ya kupingana na wewe? achilia mbali kukupiga..... Malezi Malezi Malezi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nani Amehodhi fedha? Mzunguko wa pesa ni kipengele Mtaani!

    Kwani yeye anasema zimeenda wapi? Abdul yeye anazo?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Marathon ya Millioni 334 ya CHADEMA, sijui kama CCM wanaelewa logic yake

    Mwenye jina amekataa kulitumia UCHAWA mmbaya sana CHADEMA tutachanga haswa hata wakisema tuchange ya Heche kwenda kunywa komnyeso hatuna shida tutachanga tuu mwaya
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Jiji Tanga, hatua hii ni kwa faida ya nani?

    Ukishangaa ya kange utakuna na Mbezi... unakaa stop/Kimara Temboni Suka sijui Korogwe sijui Baruti shurti ushuke huko Mbezi ati haliwezi simama tena vituo vingine inabidi uanze kutafuta gari lingine na kuondoka hizi akili za kitanzania hizi za viongozi wanaojiweka madarakani hawa.... mmmmh Once...
  6. M

    JamiiForums Tanzania IOC na ANOCA Zamtambua Anthony Mtaka kama Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC)

    Huyu mtu ukiona lile furushu kule nyuma kwa me jua basi kichwani hakuna kitu kabisa.................. mtu amebeba furushi kubwa kuliko hata Asha ndala ndefu? Haya acheze na bit na hao watu sisi yetu macho na kusikiliza ukizisngatia wala havihusiana na petrol kupanda na mlango wa hamasi sijui...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wadada wakikenya hawafai kabisa

    Yes hukuelewa vzr nilikuwa naorodhesha makbila yote yeye aende kuoa Kenya wanaojiona wanajua kuliko Waafrica wote
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wadada wakikenya hawafai kabisa

    Nawe soma uelewe ndio comment or reply
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wadada wakikenya hawafai kabisa

    Kwani hapo nimeandika sio poa?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wadada wakikenya hawafai kabisa

    Mzigua, Mdigo, Mnyaturu, Mbondei, Mmbugua, Mkurya, Mgita, mmbondei, Mnyakyusa, Msukuma koooote huko ukaenda kabisa huko +254?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Kuna Taifa Lingine Duniani Linalojua Sana Maisha ya Mastaa Kama Tanzania?

    Mastar wenyewe basi anyway Maimartha ndio kazi yake inayomweka mjini na komwe lake kama uwaraza
  12. M

    JamiiForums Tanzania Dada yangu hapati mchumba, kila akipata anamkimbia

    Nilidhani unanisemea mimi lakini ilipofika kwa miaka nikajua sio mimi maana nina mara 2 yake
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nimecheka sana aisee
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hivi timu zetu za mpira zinajifunza kupitia michuano ya world cup 2026 inayo endelea huko marekani, Canada na Mexico?

    Nimegundua Diarra ni goalkeeper kweli kweli... maana hatofautiani na hawa wa Wolidi Kapu
  15. M

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Nadhani mimi na wewe hatujaachana kabisa.... kuna saa unasikia sijui waziri huku sijui hata kama kuna waziri
Back
Top Bottom