Ndugu Tanga haikunjaa sababu ya Eid hapana ni sababu kulikuwa na maafali ya kidato cha sita St. Christina pale Kange.. hivyo watu wengi walikuja kwa ajili hiyo ukizingatia kamji kenyewe ndio hivyo. achilia mbali Abood iliyotoka Dar waje leo waondoka leo pia, vinginevyo TANGA raha tuu hina na...
Achana na LATRA kuna hawa wa parking siku hizi wametufuata majumbani imaging unapack gateni kwako anakuja mtu anascan...
kuna mmoja nusu nimpige na jinsi alivyo kiazi nikamkuta tena mara ya pili anascan, namuuliza anasema boss katuambia hii barabara inatoka hivyo tupite pia huku.
Hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.