Recent content by Miss Madeko

  1. M

    Bei za vitu Kimara imekuaje, mbona kitu cha Shilingi 100 Temeke huku ni 200?

    Sasa ukishangaa barabara za kimara na hizi za Sinza na Mikocheni tuseme je? Mikocheni hamna barabara kabisa
  2. M

    Bora Hayati Dkt. Magufuli, haya yamerudi tena!

    Ushangae watu sijui hamjui huyu mnaomsema ungekuta sasa hivi hata kusalimiana isingekuwepo
  3. M

    KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

    Nimeitwa nimepewa barua ya likizo y asiku 60 imenilazimu kwenda likizo ya siku 60 nitarudi tarehe 17.03. Jana nilikwenda Makao makuu... nitaku lkizo ya siku 60 Mungu akipenda nitarudi 17.03. Bado kiroho tutawakuwa pamoja......... Ila asingweza kusema hivyo tayari
  4. M

    Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

    Ha ha ha ha kabisa kuandika KKKT hawezi ajiendee likizo na mchungaji wake
  5. M

    Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

    Yaelekea wewe hujui mchungaji/padre/Askofu nae ni mtu anahitaji kupumzika au unadhani nao wanafanya kazi ndogo? Ndio huenda likizo
  6. M

    Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu

    Ndio sio mtii angekuwa mtii asingesema imemlazimu.................. Nina likizo ya siku 60 nitaianza kesho nitarudi tarehe 17.03 na nitariport makao makuu
  7. M

    Kama ni kweli Masanja, huu ndiyo mtihani mkubwa unahitaji kuushinda

    Heee si ndio ana watoto watatu............... swali je wote ni wa Masanja?
  8. M

    Usiende kumdai mtu pesa kama hauna pesa mfukoni

    Baba G ulinikopa ile milion 1 yangu mwaka 2017 naiomba tafadhali najua unasoma huku nitumie uwe huru
  9. M

    NHIF yasitisha mabadiliko yaliyokuwa yaanze 2/8/2022

    Huyo tena ndio ungekuta nchi imesimama kama mti wa ubuyu hautingishiki hata kwa upepo. Mungu anatupenda sana Watanzania
  10. M

    Ninaishi kwangu (nimejenga) ila sina furaha

    Ha ha ha ha nimecheka kifala hii nyumba sio yako na wala haiko Bunju nini unavyosema iko huko Goba hii nyumba ni ya bwan ......... na mama ........... wako very happy married ya 18yrs na blessing ya watoto wawili me na ke
  11. M

    Una experience gani mbaya au nzuri kuhusu kukaa kwa ndugu?

    Malezi ya ajabu sana mno sitaki hata kuyakumbuka asante BABU kwa ile caring yako unahakikisha nimekula nimeshiba ndio nirudi nyumbani nikalale tuu na hapo na maji ya kunywa unanipa mimi inakuwa ni kitanda tuu na mahali pa kuoga na kubadili the rest are history. Asante dunia niliiona na kuijua...
  12. M

    Arumeru: Wandishi wa habari wapigwa mawe na mizimu na kutimka mbio. Mawe hayajulikani yanatoka wapi. Yanamwagika kama mvua

    Sioni wakikuelewa Achana na Mmeru akikuangalia tuu unaweza kufa jicho tuu na huwa wana macho mabaya kabisa
  13. M

    Epuka sana kukopesha mtu pesa

    Baba O na M Bado ile 1M yangu inaniuma usione huna mafanikio ukadhani kwamba muda bado kuna machozi yangu hapo amini nakuambia jitahidi unirejeshee hiyo hela toka mwaka 2017 uliona wapi?
  14. M

    Halima Mdee na wenzake watinga Bungeni licha ya CHADEMA kutangaza kuwafukuza rasmi

    Kwa uelewa wangu heunda alimwambia kama hao wakitoka bungeni atawaleta wengine? sioni ubaya maana aliesababisha hizi vurugu ni Mwendazake so sio mbaya kuanza upya
Back
Top Bottom