Wadada wakikenya hawafai kabisa

Wadada wakikenya hawafai kabisa

Kumbuka kabla ya kuishi pamoja kila Mtu anakuwa Malaika.
Ina-depend na muda mlio kaa kwenye uchumba kabla ya kuingia kwenye ndoa.

Hauwezi kuniambia mmekaa kwenye uchumba labda mwaka mzima, halafu ndani ya huo mwaka useme haukuwahi kuona red flag yoyote ile kutoka kwa mwenza wako, itakuwa ni uongo.
 
Wakikuyu hasa wanawake ni wakatili balaa hizi sio hearsay tunashuhudia walio waoa

Mkikosana ana kimbia na watoto na unaweza usiwaone nashindwa kuwaelewa

Akishaweka Rasta kichwani na avae raba ya buluu baasii ni juu tunasonga mazee, na mko aje cc min -me
 
Wakikuyu hasa wanawake ni wakatili balaa hizi sio hearsay tunashuhudia walio waoa

Mkikosana ana kimbia na watoto na unaweza usiwaone nashindwa kuwaelewa

Akishaweka Rasta kichwani na avae raba ya buluu baasii ni juu tunasonga mazee, na mko aje cc min -me
Binafsi naona wanawake wakenya ni wazuri sana ila ukiwa nae lazima utumie akili mara kumi kuliko utakayo tumia ukiwa na m bongo
 
Hapo tu Kenya anatoa kilio cha mbwa mdomo wazi! Mwambie aje huku Nigeria, Ghana akutanae na Yoruba, Igbo and co. Sauti yake tu yenyewe ni ubabe tosha mbali na ujuaji, kupenda pesa, starehe, vitisho vya kulala, kunigwa kama paka, vipigo, kunyimwa mzigo, kutengwa katika lugha ya mawasiliano-ukijua kizungu anahamia French, ukileta ujuaji, anapiga yoruba au pijini uchwara yao mara huyo anaendoka M. Benz limemgoja hapo getini.
 
Vijana huwa wanajiongopea sana oh Demu kanipenda mimi sina hela ni mapenzi tu ,hawajui vizuri mademu.....Demu kuna kitu ameona kwako so kwa kipindi cha kukusibiria wewe ufike anapokuona ndiyo hapo kwa pembeni anatafuta backup ya kumuhudumia.
Akili za wanaume wapumbavu izi.
 
Kuna msela wangu ameoa kenya ila alikuwa aninihadithia simuliz yake ya ndoa kuwa alifanikiwa kuoa mkikuyu. Alinieleza anajutia kuoa huko. Mke wake anamtukana mbele ya watoto na ni mjeuri sana haambiliki.
Huwa anampenda akiwa na pesa asipokuwa nayo ni ugomv mtup.na amemtishia toka siku nyingi atamuacha na aondoke na wanawe.

Baada ya kukaa bongo kwa miaka 2. Siku moja baada ya kutoka kazini alikuta mkewe kasha ondoka na wanawe, alijarib kumpigia simu ila haikupokelewa.

Jamaa anajutia sana kuoa mkenya saivI mda wake ushaenda na kuoa saiv noma, alikarirI kuwa wakenya hawafai
Ukitaka ufurahie oa wataita ni watamu na wazuri
 
Wakenya hawafai mazee
1000452115.jpg
 
Back
Top Bottom