Ushasema body of believers ni kina nan hao? N mbn mwanzo umesema halimilikiw na watu ebu usome unachoandika..btw cbishanagi kuhusu imani sawa mi mjinga we mwerevu all the best..cku njema
Yan kwamba Yesu kajenga makanisa au unamaanisha nn kusema watu hawamiliki makanisa? Kanisa ni la waumini n hakuna kanisa linashuka mbinguni yote yanajengwa na watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.