Mwanaume wa JF mliooa...

Mwanaume wa JF mliooa...

ulijuaje kuwa huyu ndio wifey,kati ya vishtobe vyako,nani ulimuona wife material and she deserve a ring?
Yani mimi ulifika tu wakati nilijiona nahitaji kuwa na wifey ili niwe na familia,basi nikatafuta mdada mmoja ambae niliona ananivutia nikabeba ndani ya mwaka nkatangaza ndoa!!ndo niko nae mpaka sasa tuna miaka mitano tunalala na kuamka pamoja!
 
Yani mimi ulifika tu wakati nilijiona nahitaji kuwa na wifey ili niwe na familia,basi nikatafuta mdada mmoja ambae niliona ananivutia nikabeba ndani ya mwaka nkatangaza ndoa!!ndo niko nae mpaka sasa tuna miaka mitano tunalala na kuamka pamoja!

that's gud mkuu,kumpata mnayeendana bado ni challenge kwa wengi...
 
Asanteni wote mliofunguka,japokua sio wengi mliofunguka kny mada hii,bali mchango wenu una thamani,utawapa mwongozo ambao hawajaoa
 
Ana takoooo.. Chura yupoooo. Hicho Ndio kigezo mama cha kumvika Pete mama yenu. Asitokee Mtoto mwanahizaya aombe picha ya mama yake.... Nitamkamua nyongo
 
that's gud mkuu,kumpata mnayeendana bado ni challenge kwa wengi...
Kwa kweli mm bana nilijitoa mhanga maana nilishakuwa na mahusiano b4 na kujifanya eti namchunguza mwanamke nikaja kugundua kumbe unaweza kutumia muda wa maisha yako yote hapa duniani kumsoma mwanamke na usimuelewe!
 
Alikuwa msafi na akanifanya niwe na mwonekano mzuri kiasi cha mademu kuanza kunishobokea ..nikaona nikimuacha nitajikuta narud Enzi zang za u-hardcore mademu niwasikie kwenye bomba.
Unachukua mademu kwa usafi wa mkeo,Sharubati mkengehuko
 
Ana takoooo.. Chura yupoooo. Hicho Ndio kigezo mama cha kumvika Pete mama yenu. Asitokee Mtoto mwanahizaya aombe picha ya mama yake.... Nitamkamua nyongo
Pwahahahaaaa......ukiwa jf hata wikend hukumbuki kwenda kumtembelea shangazi au mjomba yaan fullmarahaa
 
Back
Top Bottom