Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,385
KAMA HAUNA UNAKAA UNATULIARomani wanatumia mbinu ya kutoa kwa kufuata mabenchi, huku sio kulazimishana?!
KAMA HAUNA UNAKAA UNATULIARomani wanatumia mbinu ya kutoa kwa kufuata mabenchi, huku sio kulazimishana?!
KAA KIMYAA,MSIKITI UKIHARIBIKA MNAKUJA KUOMBA KWETU WAKRISTO MCHANGOYesu amesema watu watangaze neno bila kutaka ujira
SERIKALI INAVYOKUSANYA KODI UNAJUA ZINAFANYIWA NINI?unaweza kuniambia hizo zaka zinafanyiwa nini??
ni bora nikasaidie mayatima na wasiojiweza naamini nitapata baraka zaidi.
kwenda huko .serikali ni serikali hakuna uhusiano na mambo ya dini(makanisa),nilisema siwezi kutoa fungu la kumi ni bora nikasaidie yatima na wasiojiweza kuna mtu hapo juu ameni-quote ameniambia hizo zaka zina maana yake. nauliza tena hizo zaka zinafanyiwa nini uko makanisani????SERIKALI INAVYOKUSANYA KODI UNAJUA ZINAFANYIWA NINI?
Safi sana nimekupenda watu ya kanisan wanahoji sana mengine walaaa.SERIKALI INAVYOKUSANYA KODI UNAJUA ZINAFANYIWA NINI?
you are welcome my diaSafi sana nimekupenda watu ya kanisan wanahoji sana mengine walaaa.
Nao wezi tu kazi kukarabati nyumba za paroko na kununua sehemu za parking na kuanzisha frem.faida inaenda kwa papaWewe unaenda kutoa sadaka Makanisa ya Kilokole unategemea nini..??
Makanisa yanayojielewa kama Katoliki, KKKT na Anglican ni mahala pa kutoa sadaka...Maana huko Mashule, vituo vya watoto yatima, hospitali zinajengwa..
KAA KIMYAA,MSIKITI UKIHARIBIKA MNAKUJA KUOMBA KWETU WAKRISTO MCHANGO
Mnatoa sh ngapi mpaka zitoshe kununua magari yote hayo?Natumaini wote ni wazima wa afya tele,dukuduku langu ni kuhusu utoaji sadaka makanisani nilikuwa nafikiri % kubwa ya sadaka tunazo toa zinaenda kusaidia mayatima,wajane na wasiojiweza na kueneza neno la Mungu kumbe sivyo ninafikiri sadaka zetu sisi zinawanufaisha wachungaji uku waumini tukiwa choka mbaya,kitu kilichonisukuma nisitoe sadaka ni baada ya kumuona mchungaji wetu kununua magari 3 kwa mkupuo.
Mwezi 4 alinunua LAND CRUISER V8,mwezi 5 akanunua TOYOTA BREVIS,juzi kati mwezi huu wa saba nimemuona mtoto wa mchangaji yupo ndani ya BMW mpyaaa.Nimejiuliza sana huyu mchungaji amepata wapi pesa ya kununua magari yote kwa mkupuo hivi? Jibu nililopata ni sadaka zetu ndizo zinazomfanya mchungaji atanue anavyopenda,waumini masikini choka mbaya kumbe tunamfaidisha mchungaji na familia yake.
Kuanzia leo sitoi tena sadaka wa mchango wowote ule ni heri ni dundulize hela mwisho wa siku nikawasaidie yatima na wagonjwa mahospitalini kuliko kuzidi kuwanufaisha wachungaji.
Asanteni nawatikia EID njema