Recent content by Miss anonymous

  1. Miss anonymous

    Ifike muda habari za vibustani vikomeshwe...

    Inasikitisha sana hiki kizazi cha sasa kinapoelekea watu hatuna tena hofu ya Mungu jambo kama hili si la kuhalalishwa,Mke ama Mme uliyenae ni mpango wa Mungu huo kama kuna differences sort them out hii dunia tunapita tu kuna siku utajibu kila kitu ulichokua ukikifanya hapa duniani!samahanini...
  2. Miss anonymous

    Maombi yana nguvu, hatimaye Mungu amenipatia ajira

    Amen hongera sana and all the best
  3. Miss anonymous

    Nimetokewa na mauza uza kazini kwangu, naomba ushauri

    Mkuu siwez kubishana na wewe hayo mambo yapo na wewe hukua na strong foundation na Mungu kanisan huendi kusali hausali na ndo maana imekua hvyo,jenga uhusiano na Mungu funika eneo lako lote kwa damu ya Yesu kila unapoingia na kutoka.Mchungaji atakuombea ila vita ni ya kwako wewe jifunze...
  4. Miss anonymous

    First Meeting na Kero zake

    Huyo kweli hajielew anafurahia starehe zako tu mpaka anaomba atolewe lol kwanza atakua limbukeni sidhan kama kuna haja ya mdada anayejielewa kuomba yeye atolewe kizuri kinajiuza chenyewe.
  5. Miss anonymous

    Sasa mke basi!

    Lakini mke wako si anajua hali halisi ya maisha yenu?yeye ndo alitakiwa kuwa mstari wa mbele kuwaeleza wazazi wake kwamba bado hamko tayar kwa sasa na pili kuwajengea ni hiari yako na si lazima kama itakupendeza ukiwa na uwezo huko mbele utawajengea.
  6. Miss anonymous

    Asanteni NBC Bank mmetutumia na sasa mmetu-dump

    Dah poleni sana inasikitisha kwa kweli
  7. Miss anonymous

    Kilicho mtokea huyu mdada kuwa mwangalifu!

    Shame on you unaye support hilo swala alilofanya dada wa kazi,ni wazi hauko sawa utakua na matatizo.
  8. Miss anonymous

    Wenje awatuhumu wajumbe wa kundi la 201 kuhongwa!

    Huyu atakua walewale tu
  9. Miss anonymous

    Wanaume, tofauti ya mwanamke changudoa na asiye changudoa

    Kweli tumezaliwa na kukua katika maadili tofauti
  10. Miss anonymous

    Mliooa wadada wasomi wenye mishahara yao tupeni uzoefu

    mwanaume ambaye atakua na mapenzi ya kweli,mwaminifu na heshima kwa mwanamke msomi mwenye kazi yake bas hakutokua na differences zozote kati yao zaidi ni maelewano na kusaidia popote mnapokwama na hiyo ndo familia bora.
Back
Top Bottom