Ndugu zangu hayo ni maoni yangu binafsi,kama nimewakwaza poleni/samahani,baada ya kusema haya kuna ushahidi na si porojo,maoni ni namna mtu anavyoutafsiri ushahidi.Haya mambo ya BAVICHA,na mengine kama hayo si yangu kusema. Kazi ya upinzani ni kuiweka sawa serikali,ndiyo maana nchi nyingi zenye...