Nionavyo kuhusu CHADEMA

Nionavyo kuhusu CHADEMA

misha

Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
59
Reaction score
7
CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini kilipaswa kufanya uchambuzi wa nguvu wa hotuba ya Rais na sakata zima la IPTL,kuna mambo mengi sana yako loose, ambayo yalistahili kukamuliwa na CHADEMA.
Kingine nilichokiona kuhusu CHADEMA ni mwenekano,hamna mtu anayekata kuwa na uniform,uniform inapaswa iwe uniform kwa wote,cha ajabu viongozi wa kitaifa wanavaa designer,katibu wa mkoa na wilaya anavaa mtumba,mbaya zaidi shati inatofautiana na suruali, hili ni tatizo linaonyesha tabaka,ni bora chama kikawa kinashona uniform kama vinavyofanya vilabu vya mpira Messi anavaa kama wachezaji wengine.
 
Watu majuha mko wengi sana wakishachambua watafanya nini tangu lini ukweli unabadilishwa na porojo?
 
CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini kilipaswa kufanya uchambuzi wa nguvu wa hotuba ya Rais na sakata zima la IPTL,kuna mambo mengi sana yako loose, ambayo yalistahili kukamuliwa na CHADEMA.
Kingine nilichokiona kuhusu CHADEMA ni mwenekano,hamna mtu anayekata kuwa na uniform,uniform inapaswa iwe uniform kwa wote,cha ajabu viongozi wa kitaifa wanavaa designer,katibu wa mkoa na wilaya anavaa mtumba,mbaya zaidi shati inatofautiana na suruali, hili ni tatizo linaonyesha tabaka,ni bora chama kikawa kinashona uniform kama vinavyofanya vilabu vya mpira Messi anavaa kama wachezaji wengine.
Haya mambo yenu ya chama chenu zungumzeni kwenye mabaraza yenu ya bawacha sisi mambo ya unifomu za chama chako yanatuhusu nini.
 
Hizi ndio thread zinazojaza server tu.
 
Ndugu zangu hayo ni maoni yangu binafsi,kama nimewakwaza poleni/samahani,baada ya kusema haya kuna ushahidi na si porojo,maoni ni namna mtu anavyoutafsiri ushahidi.Haya mambo ya BAVICHA,na mengine kama hayo si yangu kusema. Kazi ya upinzani ni kuiweka sawa serikali,ndiyo maana nchi nyingi zenye mfumo wa kamati ya PAC zina utaratibu wa PAC kuongozwa na upinzani,kwa lengo la kuiweka serikali kwenye msingi. Kuna +&- criticism,+ve criticism inajenga na muhimu katika jamii huru.
 
Tutalifanyia kaz lakini ukumbuke kuwa uongozi bola sio sale.angalia sale ya ccm uongozi wake mbovu sana rusha na wizi utapeli sababu ya sale zao.jiulize kwann hayati Mwalim NYERERE hakupenda kuvaa sale ya chama chake?.panuka kiakili Dogo.
 
Hotuba ya jk haihitaji uchambuzi makini, makosa na mapungufu yako waziwazi!
 
Back
Top Bottom