sawa mkuu nashukuru kwa mchango wako,,nimefanya hivo ili kama mtu anachochote aweze kunichangia maana nimeona itakua ngumu kwa mtu mmoja kuchangia yote kwa pamoja, ila nipende kukiri tu, hili swala sio utapeli kama yeyote atakavyozani.
Mawazo yako pia nimeyapokea.
Nifanye mchakato wa kupata...
Wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nina elimu ya sekondari kidato cha nne
Nilihitimu 2017 lakini sikubahatika kuendelea na elimu ya advance, mimi ni mkubwa kwenye familia ya watoto wanne
Dhumni la kuja kwenu, ninaomba mwenye uwezo wa kunichangia japo chochote ili niweze jiendeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.