Hekima na busara zitawale kwa yoyote ambaye atavutiwa kutoa maoni katika waraka huu maalum. Tujibu hoja kwa hoja....tujenge hoja zetu katika misingi ya kuheshimiana bila kumkwaza mtu yoyote.....haya ni mawazo yangu tu kuna ambao watakubaliana na mm na kuna watakaopingana na mm.....nia ni moja...
Azam TV kuanza kuonyesha mechi za robo fainali za UEFA champions league from next month...hayo yamethibitishwa na mchambuzi nguli ws soccer hapa bongo kwenye account yake ya Facebook....kwa speed hii naiona Azam TV ikileta mapinduzi
Sophisticated but user friendly payroll software is urgently needed for a company with 80+ employees. For serious dealers let us keep in touched
Thanks
Jukwaa la Sisa limevamiwa na wadaku.....hii stori ni ya kutengenezwa maana sioni wapi jina la Kinana limetajwa....watu kama hawa wanageuza JF sehemu ya mipasho
Habari nyingine zinasema makundi ya vijana kama hao, yamekuwa tishio kwa uhai wa wananchi maeneo ya Tabata Kisiwani, Mabibo, Kigogo na Ilala Boma.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na mwandishi wa gazeti hili, baadhi ya waathirika walisema makundi hayo...
Hakika Batili Hawezi Kushinda Haki Siku Zote.
Mwanasheria na Kijana Machachari Albert Msando ametudhihirishia kuwa Tundu Lissu ni limbukeni na kanjanja wa sheria hapa Tanzania.
Good Job Albert Msando U Have Made My Day
Wadau
Nyumba ya kupanga inahitajika ikiwa na vifuatavyo
1. 2 Bed Rooms - One should be master
2. Sitting/Dining Room
3. Bath/Lavatory Room
4. Umeme wa kujitegemea - No sharing Luku
5. Kitchen
Preferred Places
Kurasini, TCC Changómbe, Temeke Wailes.
Budget
200,000 - 250,0000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.