Wapendwa habarini za asubuhi.
Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu kumbi za sherehe kama Kitchen party maeneo ya Tegeta.
Pili naomba sana mtu yeyote anayefahamu kumbi za harusi ambazo mtu utajitegemea vitu kama chakula na vinywaji .
Nitafurahi kama nitapata na mawasiliano yao, naomba hizo...
Hivi kweli umu kuna viazi wengi fikiria kabla ya kuposti sio lazima awe mteja ndo aposti umefikiria kweli kama ungekua mkazi wa pale na una watoto wakike tupu wanasoma shule za msingi au ata sekondari na njia yao ni pale
au hata hawa vijana wetu wa kiume wakipita pale na kuona watu wapo nusu...
Umenena vyema usanii wao hauwazuii wao kufanya wanachopenda wangekua upinzani nina uhakika usingesema kitu ila kwa vile ni ccm basi wanaonekana wamepotea waacheni
Hamna elimu bure apa elimu ya shule ya msingi si inatolewa bure ila michango iliyopo bora wangesema tu sio bure mwanangu kuandikishwa tu la kwanza elfu kumi ya jengo kila siku shule lazma aende na mia mbili ya uji na mia mbili ya shirikishi bado mwisho wa mwezi kuna hela ya mlinzi na maji na...
Kuna kitu kinanishangaza mimi kama mimi na kunisimitisha sana ni wapi tunaelekea,hivi inakuaje watu humu mnaposti (kutuma) maswala ya kusoma na kazi mfano mtu anauliza hivi uhandisi na udaktari ni upi unalipa zaidi wewe wakati unakua ulikua na malengo gani?
Unadhani kwa mawazo yako hayo...
Kwa kumwaga mvua ndio kabisa hao inaeza ikanyesha mvua kidogo sana halafu wao wanaachia mashimo yao maji mpaka mafuriko mafuriko ya boko yanasababishwa ba kiwanda kwa asilimia 80
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.