Jamani hali ni mbaya hapa dar kama vile buguruni maeneo ya kimboka, kituo cha muhimbili n.k. hivi police hawaoni
muhimbili sehem gani maeneo ya pale ?
Nafikiri ana maana ya Buguruni zinapopaki daladala ziendazo Muhimbili.
Jamani hali ni mbaya hapa dar kama vile buguruni maeneo ya kimboka, kituo cha muhimbili n.k. hivi police hawaoni
Acha kutuchafulia chakula chetu ww uliza kuhusu albino lkn c hawa tunaokubaliana nao nimeiona post hii wakat ndio nachukua mzigo hapa
Hizo huduma zinatolewa kuanzia mida gani...niende nikawahoji hao wapiga kura......
Jamani hali ni mbaya hapa dar kama vile buguruni maeneo ya kimboka, kituo cha muhimbili n.k. hivi police hawaoni