Recent content by Minze

  1. M

    Serikali kujenga Mgodi wa Makaa ya Mawe na Chuma wa zaidi ya Shilingi Trilioni 6

    Ulipwaji/upataji wa gawiwo la 80:20 bado haujaeleweka kwa wananchi. Kimsingi katika mradi huu wa Mchuchuma na Liganga wa makaa ya mawe na chuma ambao tumeambiwa Serikali kupitia NDC itakuwa na hisa 20% ni suala ambalo litaitafuna nchi. Tafsiri ya 20% itaanza kuwa realised na serikali kupata...
  2. M

    STAMICO wameanza kuita watu kazini

    Hongera sana kwa kupata ajira. Angalizo, nenda ukawajibike kijana, litumikie taifa lako kwa uaminifu na uadilifu mkubwa. Taifa hili limegeuzwa shamba la mavuno kwa kujichotea fedha kiwiziwizi especially kupitia haya mashirika ya umma. Natuma hautokuwa mmoja wao hao wanaolihujumu taifa kwa...
  3. M

    Stamico kulikoni? Mbona kimya kimetawala!

    STAMICO mbona kimya? Nafasi za kazi zilitangazwa October 2013 wakitafuta wafanyakazi 78, usahili ukafanyika mwanzoni mwa december 2013. Mpaka sasa bado hawajatoa majibu! JF jungu kuu halikosi jambo. Nauliza kulikoni STAMICO? mbona kimya wakati vijana waliahidiwa matokeo ya usahili yangetoka...
  4. M

    Shirka la Madini la Taifa (STAMICO) waanza kuita watu kazini Usaili wa Dec, 2013

    Hizo Manager's level zilikuwa re-advertised na mchakato wao wa usahili utafanyika next week! Kumbuka awali zilitangazwa lakini walioomba inaonyesha hawakukidhi vigezo hivyo hizo positions zilitangazwa tena na bado watu hawajaitwa kwa usahili (manager's level and above[directors]). Kumbuka...
  5. M

    Shirka la Madini la Taifa (STAMICO) waanza kuita watu kazini Usaili wa Dec, 2013

    Mtoa taarifa ulikuwa bado haujajipanga. Chanzo chako cha habari kimekupotosha matokeo yake umewapotosha wengi. STAMICO bado hawajaita, lile ni shirika la serikali, waliofaulu usahili watataarifiwa officially katika njia zisizo na uficho. tembelea web yao upate taarifa kama ikiwekwa watu watafahamu.
  6. M

    Rai: Kapuya asamehewe...!

    Dunia tambala bovu!
  7. M

    Vijana, msifanye makosa kama niliyofanya. Kujiunga na CHADEMA ni sawa na kucheza karata tatu!

    Njaa itakuuwa ndugu yangu! acha woga wa maisha! Hata kama unajipendekeza kwenye lichama lako jipya basi tumia welevu kidogo wa akilizako otherwise hata huko unapoenda wanakushangaa sana kwa kuonyesha upumbavu wako mapema hivyo! Anyway acha nafsi yako ifarijike na unafki wako!
  8. M

    Masoud Kipanya na Chadema Kumbe ni Damudamu?

    waongelea jezi aliyoivaa!!!!
  9. M

    Bungeni: Muswada wa katiba mpya wasomwa

    Nipo rum namcklza mh. Waziri mama kombani! Najihisi kupasua tv yangu kwa nyundo! Hakika nia ya serikali ya kuandaa katiba ya watz haipo! Hakika patachimbika! Nahs u-alshabaab unainyemelea bongo my country!
  10. M

    Mbunge wa Ubungo John Mnyika anyimwa na polisi kufanya mkutano

    My worry! Siku moja tutaua makusudi raia wa tanzania kwenye mikutano hii kwa kuwasingizia al shabaab ili tupate sababu nyepesi ya kuzuia wananchi kuhuzuria mikutano inayoitishwa na CDM. Ole wake yule atakayeinua silaha na kutoa roho ya mtanzania ktk mikutano ya kiharakati!
  11. M

    T.C.R.A Wanatumaliza; TiGO Nao Wanatunyofoa Ngozi, Chukua HATUA

    Jana wamerusha kijimeseji cha kujikomba kwenye simu zetu eti MUHIMU, MCHANA KUTWA, USIKU KUCHA MASAA 20, UNAONGEA KWA SH.1/SEKUNDE 1, NA KILA BAADA YA DK3 KUANZIA SAA4 USIKU MPAKA SAA1 ASUBUHI UNAONGEA BURE. Mwanaume nikajitosa mida ya saa 11jioni nikaweka sh. 1,000/= nikijua nitaongea si chini...
  12. M

    Tabora: Wabunge wa CHADEMA waachiwa kwa dhamana; Kupokewa kwa maandamano Igunga

    Makamanda akina Tundu Lissu, Kasulumbai na Ester wapo Nzega Motel wanapata msosi Nzega tayari kwa kwenda Igunga. Wana vumbi balaa, kwani barabara ya Nzega Tabora haifai. Nawasilisha.
  13. M

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    Lazima katiba iheshimiwe. Tukiendekeza udini gharama yake ni kubwa saana pindi mambo yakienda mrama! Chonde chonde, udini nooomaa!
  14. M

    Waboyzia: Waliosoma Tabora boys tangazo maalum

    Wapi mama Mrisho!!!! I remember those days! nyangara kwa sana!!! especially maji yakikatika kwani vijana tulikuwa tunajimwaga TUKUTUKU tukijimix na warsaw!! Tunahitaji list kamili yenye majina halisia ili tuweze kujua Tabora School kama Kichwa cha Tanzania tunaisaidiaje nchi yetu kimaendeleo...
Back
Top Bottom