Yes kaka inawezekana kwa sababu hata cartoon zake zinajieleza, zinaonekana kutetea sana wanyonge na kuwaponda wafujaji wa mali za umma. Hiii inawezekana kabisa kaka, unajua chadema si chama ni jamii inayotetea kundi dogo lisitumie madaraka vibaya ba kunyonya maslahi ya wavuja jasho.
Aaaagh...Grrrrrrrrrrrr, Hii sasa kashfa yaani munamgombea mwana......e mwenzenu hadharani?
Haya ndiyo madhara ya kujadili watu.
I trust You people can do better than that..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.