Wewe n mchochez kakojoe ukalale kwan huon Chato na kanda ya ziwa wanavyopendelewa huongei peleka akili yako ya kinyumbu Afu kwa taarifa yko watu kutoka kanda ya kask ndo waliowekeza katka majiji na mikoa iliyoendelea yan umeongea mbolea na afadhal mbolea Roughage Sewage Hpo chai inahusikaje km...
Acha kuandika umbea ww matus gan unayoyasema na Ney wa mitego tutasemaje na huo mvideo wa Rosa Ree hpo chin kaimba nin[emoji116] [emoji116] punguza ushabiki mtoa mada km cjakosea ww n mojawapo ya tmu kibakul[emoji35] [emoji35]
Hahaa kijana huna hoja bora ukae kimya kuliko kujbzana na wakubwa zako walobalehe tatizo moja hampend kusoma mnalalamika afu bado unaita wenzako nyumbu ila ww naweza nkakufananisha na Ndege anayeitwa Chichidodo anaekula wadudu wa kwenye mavi lkn anachukia mavi [emoji38] [emoji38] Ww komaa...
Akili ya kupewa ongeza na ya kwko xx Mkuu wa kaya kweli kuingilia maisha ya watu ooh Mara kila mtu ataonja mauti kwn yy malaika wa zamu au yule Israel mtoa roho vitu vngne busara itumike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.