Recent content by Minja Ngalason

  1. M

    Mke anahitajika haraka

    Anatuma maombi kwa kutumia www.jamiiforum.com au www.ajiraportal.org Utumishi au?🐷🐷
  2. M

    Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

    Mr.Alpha Nakuita mara 3 Upoo! Dalili ya Mvua ni nini? Au unataka mvua ikunyee kama hii ya Daslade
  3. M

    Hivi Peponi kutakuwa na Nyama Choma?

    Hapo kwenye mitungi umrniogopesha mkuu ukiongelea mitungi watu washaanza kuwaza Shishaa😂😂
  4. M

    Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?

    Daah Yan hawa Polisi ni Mbwa kabsa hivi kweli unaenda kumkamata kijana Innocent hivi na kudhulum uhai wake na wakati kuna jitu linasema litapoteza watu juzi tu na liko uraiani
  5. M

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    😂😂😂hivi Mwampo alikuwepo au alikuwa kuhani?
  6. M

    Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    Hili nalo neno hukuwa mbali na mimi kimawazo hiyo ni Expansionism Theory
  7. M

    Umejifunza au ulijifunza jambo gani kipindi unapopitia au ulipopitia nyakati ngumu maishani mwako?

    Mkuu yalokukuta ww nyakati kama zako yalimkuta ndgu yangu mwaka juzi hvyohvyo na yy alitoka kuoa asikwambie mtu
  8. M

    Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

    Haya wale wa Proud to be Karibuni DJ tafadhali waleete😁😁🎼🎼🎼
  9. M

    Jinsi ya Kupika mchuzi wa samaki na Nazi (chukuchuku)

    Unapika mashalaah ww mtoto yan chuzi zito kama umepika Uchi na msosi unaonekana mtaam😋😋
  10. M

    Hii ni kitu gani kwenye treni hii ya kisasa?

    Zitakuwa za kuwekea vitu vya wamachinga ikifika kila stesheni na km una mifugo yko km kuku,mbuzi unamwekamo hpo juu
  11. M

    Mambo matano ya Hayati Rais Magufuli yaliyoshtua Dunia

    Qumanina yani Sare za CCM zilikuwa zinafaa kuchukulia mkopo benki benki ipi kwanza? Benki ya mama yko au ya hyo mzee wenu Yani watu km nyie ubongo wenu umejaa makamasi
  12. M

    Tanzanian traditional local foods

    Hizi ukipata na maziwa ni lazima upige BAO ZITO KAMA GUNDI MAMAQUE
Back
Top Bottom