Kwa jinsi Dar ilivo over populated Dege Eco Village ingekua ni moja ya solution ya makazi. Kwa mwenye maono mazuri na serikali kiujumla wawekeze kwenye mradi huo ni mzuri kwa ajili ya maisha ya baadae ya Dar haijalishi serikali imehama au la.
Yaani wazungu wanatafuta sifa mpaka pale ambapo hazikustahili...alafu eti father anafuraha kisa kuingia katika historia....ama kweli Mungu atusaidie sana maana ni siku za mwisho na huyu father ni mjumbe wa shetan..na sheria ilkuwepo toka mwaka 1800's
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.