Recent content by MimiJoel

  1. MimiJoel

    Nguvu ya elimu katika medani za ujasusi na ulinzi: Tanzania tuna nini cha kujifunza?

    Nimesoma Huu Uzi, Mwili Wote Umesisimka... Mfumo Wetu wa ELIMU unahitajika Kubadilishwaa Mapema Sana... Vinginevo tutaendelea kuishi Maisha ya Miaka ya 60's wakati Dunia Ipo mwaka 2018... Asanteee Mwandishi kwa Uzi Huu,,,
  2. MimiJoel

    Nguvu ya elimu katika medani za ujasusi na ulinzi: Tanzania tuna nini cha kujifunza?

    Nimesoma Huu Uzi, Mwili Wote Umesisimka... Mfumo Wetu wa ELIMU unahitajika Kubadilishwaa Mapema Sana... Vinginevo tutaendelea kuishi Maisha ya Miaka ya 60's wakati Dunia Ipo mwaka 2018... Asanteee Mwandishi kwa Uzi Huu,,,
  3. MimiJoel

    Wanafunzi wengi wa Vyuo Vikuu Ni Wakina "AKWILINA"

    Kifo cha Akwilina ni Tukio lililoacha Simanzi, huzuni na Masikitiko Ndani ya Mioyo ya Watanzania wengi, wakiwemo Wanasiasa, Wanafunzi wenzie, ndugu na jamaa. Lakini kubwa zaiid Kifo cha AKWILINA kimeacha pengo katika Familia yake ya Mzee Akwilini Shirima Na kuua Kabisa Ndoto za Familia ya...
  4. MimiJoel

    Eheee makubwa!!!!Salama Jabiri anaolewa!

    Wema, Snura, Agness Masogange na Machura yao mpka leo hawajaolewa.. lakini Salama katolewa posa tayar, hapa ndo research na project za kuhusu wanawake zinapokuwa ngumu zaiid, kumbe WOWOWO sio ishu sana hapa town.
  5. MimiJoel

    Nilikutana na jini wa kike

    Mbona huendeleii na story, hata kama umetunga we malizia tu...
  6. MimiJoel

    Uswazi Sihami..

    Kwa matukio haya mawili ni bora Uwizi Uendelee Lakini sio Ushoga..
  7. MimiJoel

    Uswazi Sihami..

    Kwani kunasehemu nimeomba msaada?? Fanya kama unapitia upyaa kusoma
  8. MimiJoel

    Uswazi Sihami..

    Uswahilini kuna mambo mengi, nilichaniwa dirisha nikaibiwa simu zangu... Lakin kwa hili la leo sihami kamwee!! Leo mida ya saa 4 usiku nikiwa narudi zangu magheton, nimekutana na ugomvi wa vijana wawil wakimshambulia kijana mwenzao mmoja, huku wakiwa wamezungukwa na vijana wengi wa kiume...
  9. MimiJoel

    Kwa mtaji wa 25 million nifanye biashara gani?

    Biashara za mazao zinalipa sana, na kwa mtaji huo naamin unatosha kabisa kuanza biashara hiyo lakini biashara zipo nyingi, cha msingi angalia wewe unapenda nini maana itakuwa rahisi kukifanya na kukisimamia ili upate faida zaidi
  10. MimiJoel

    Team Mond Huu ni muda wa kujiandaa na safar ya S.A

    Nakumbuka kwenye Interview aliyofanya Diamond Platnumz kupitia Leo tena ya Clouds Fm.. alisema kuwa endapo Zari atagoma kumuelewa na kumsamehe yupo tayr kutembea kwa magoti kutoka Hapa mpka South Africa. Kwa sasa Hali ya Mapenzi kati ya diamond na aliyekuwa mpenz wake, mzazi mwenzie Zarina...
  11. MimiJoel

    Hawa Machizi "WANADATE" Roma na Stamina wanaounda kundi la ROSTAM ..

    Wanahiphop maarufu nchini Tanzania, Roma na Stamina wanaounda kundi la ROSTAM. Ikiwa na maana ROma na STAMina, mapema leo waliuLIzwa na Perfect crispin kupitia 255 ya XXL inayorushwa na kituo cha Clouds fm, Kuwa ni kitu gani kinachoweza kupelekea kundi lao la ROSTAM linalofanya poa hivi sasa...
  12. MimiJoel

    Makubwa ya YOUTUBE kutoka kwa "HALLELUJAH" ya Diamond Platnumz ft Morgan Heritage

    Yani matukio mengi kabla ya kuachia huu wimbo yamechangia sana matokeo mazuri ya wimbo huu,, Zari na Hamisa, Rickross na Djkhaled Kumpost, Swizzbeats kumtumia salamu, ushndani uliokuwepo kwenye nyimbo zao zilizopita na ukubwa wa jina lake kiujumla ukichanganya na ukubwa wa Morgan heritage lazima...
  13. MimiJoel

    Makubwa ya YOUTUBE kutoka kwa "HALLELUJAH" ya Diamond Platnumz ft Morgan Heritage

    Tofauti kati ya Youtube na Vevo.... 1.VEVO inamilikiwa kwa ubia na Sony Music , Universal Music, google na Abu Dhabi Media wakati YouTube ipo chini ya google. 2.Vevo Inahusu muziki pekee wakati YouTube Ni videos zote Hadi Filamu 2.Vevo inaonekana nchi chache Sana Hadi sasa wakati YouTube...
  14. MimiJoel

    Makubwa ya YOUTUBE kutoka kwa "HALLELUJAH" ya Diamond Platnumz ft Morgan Heritage

    Angeanza Kujibu kesi ya Kupostiwa na Djkhaled pamoja na Rickross.. afu na kwann Swizzbeats ampe hi! pekeake wakati Tz inawatu Zaiid ya Millions 50?
Back
Top Bottom