Nimesoma Huu Uzi, Mwili Wote Umesisimka... Mfumo Wetu wa ELIMU unahitajika Kubadilishwaa Mapema Sana... Vinginevo tutaendelea kuishi Maisha ya Miaka ya 60's wakati Dunia Ipo mwaka 2018... Asanteee Mwandishi kwa Uzi Huu,,,
Nimesoma Huu Uzi, Mwili Wote Umesisimka... Mfumo Wetu wa ELIMU unahitajika Kubadilishwaa Mapema Sana... Vinginevo tutaendelea kuishi Maisha ya Miaka ya 60's wakati Dunia Ipo mwaka 2018... Asanteee Mwandishi kwa Uzi Huu,,,
Kifo cha Akwilina ni Tukio lililoacha Simanzi, huzuni na Masikitiko Ndani ya Mioyo ya Watanzania wengi, wakiwemo Wanasiasa, Wanafunzi wenzie, ndugu na jamaa. Lakini kubwa zaiid Kifo cha AKWILINA kimeacha pengo katika Familia yake ya Mzee Akwilini Shirima Na kuua Kabisa Ndoto za Familia ya...
Wema, Snura, Agness Masogange na Machura yao mpka leo hawajaolewa.. lakini Salama katolewa posa tayar, hapa ndo research na project za kuhusu wanawake zinapokuwa ngumu zaiid, kumbe WOWOWO sio ishu sana hapa town.
Uswahilini kuna mambo mengi, nilichaniwa dirisha nikaibiwa simu zangu... Lakin kwa hili la leo sihami kamwee!!
Leo mida ya saa 4 usiku nikiwa narudi zangu magheton, nimekutana na ugomvi wa vijana wawil wakimshambulia kijana mwenzao mmoja, huku wakiwa wamezungukwa na vijana wengi wa kiume...
Biashara za mazao zinalipa sana, na kwa mtaji huo naamin unatosha kabisa kuanza biashara hiyo lakini biashara zipo nyingi, cha msingi angalia wewe unapenda nini maana itakuwa rahisi kukifanya na kukisimamia ili upate faida zaidi
Nakumbuka kwenye Interview aliyofanya Diamond Platnumz kupitia Leo tena ya Clouds Fm.. alisema kuwa endapo Zari atagoma kumuelewa na kumsamehe yupo tayr kutembea kwa magoti kutoka Hapa mpka South Africa.
Kwa sasa Hali ya Mapenzi kati ya diamond na aliyekuwa mpenz wake, mzazi mwenzie Zarina...
Wanahiphop maarufu nchini Tanzania, Roma na Stamina wanaounda kundi la ROSTAM. Ikiwa na maana ROma na STAMina, mapema leo waliuLIzwa na Perfect crispin kupitia 255 ya XXL inayorushwa na kituo cha Clouds fm, Kuwa ni kitu gani kinachoweza kupelekea kundi lao la ROSTAM linalofanya poa hivi sasa...
Yani matukio mengi kabla ya kuachia huu wimbo yamechangia sana matokeo mazuri ya wimbo huu,, Zari na Hamisa, Rickross na Djkhaled Kumpost, Swizzbeats kumtumia salamu, ushndani uliokuwepo kwenye nyimbo zao zilizopita na ukubwa wa jina lake kiujumla ukichanganya na ukubwa wa Morgan heritage lazima...
Tofauti kati ya Youtube na Vevo....
1.VEVO inamilikiwa kwa ubia na Sony Music , Universal Music, google na Abu Dhabi Media wakati YouTube ipo chini ya google.
2.Vevo Inahusu muziki pekee wakati YouTube Ni videos zote Hadi Filamu
2.Vevo inaonekana nchi chache Sana Hadi sasa wakati YouTube...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.