Recent content by mimi-soso

  1. M

    DOKEZO Wenye Hospitali binafsi wakataa kuwahudumia wateja wa NHIF kutokana na vifurushi vipya

    Labda ulienda zile polyclinic za aga khan ila aga khan yenyewe hawapokei nhif miaka mingi sana
  2. M

    Mchepuko Umeniponza

    Nimecheka bila kutarajia
  3. M

    Nimempenda teller wa benki fulani

    Halafu kesho wanaomba kufundishwa namna ya kukopa
  4. M

    Angel Benard aolewa mara ya pili

    Eeh ila watu mnakuwaga na information aiseee
  5. M

    Kati ya Mama na Mke Nani anapaswa kukaa Siti ya mbele wakati unaendesha Gari?

    Ila mwisho wa siku tutafute fedha tusije kushare magari na watoto wetu
  6. M

    Kati ya Mama na Mke Nani anapaswa kukaa Siti ya mbele wakati unaendesha Gari?

    Hili ni swali pana sana na halina jibu la moja kwa moja. Inategemea mama yupo na baba au yupo peke yake, kama yupo peke yake kiheshima mnapaswa kumpa offer ya kukaa mbele coz kiafrica kiti cha mbele ni cha heshima yeye mwenyewe ndio akatae aseme atakaa nyuma. Pia inategemea na mchango wa mama...
  7. M

    Morroco ni Taifa la Kiarabu linaloishi Afrika

    Duh[emoji134][emoji134][emoji134] salute
  8. M

    Aina tano za wanaume

    Ambao wetu hawapo hapo tunajibia wapi?? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    WANAUME: Epuka kumwoa Mwanamke kwakuwa ana Mimba yako!

    Cheka ila msg umeipata 😂😂😂😂😂😂
  10. M

    WANAUME: Epuka kumwoa Mwanamke kwakuwa ana Mimba yako!

    Povu lolote ni povu, ndio maana ushaliita povu
  11. M

    WANAUME: Epuka kumwoa Mwanamke kwakuwa ana Mimba yako!

    Wewe ndio mburullah ambao mnaendekeza huu ushenzi uendelee, surprisingly wewe ni mwanamke. Hivi huyu binti alijipa mimba mwenyewe? Kama huyu mburullah mwenzio alijua hamtaki y hakutumia kinga? Watu wanatakiwa kujifunza kuchukua responsibility ya makosa yao wote sio mzigo abebe mmoja no...
  12. M

    WANAUME: Epuka kumwoa Mwanamke kwakuwa ana Mimba yako!

    Na unavyosema hamkuwa kwenye mahusiano ulikuwa unamkojolea kwenye ndoto? yaani watu kama nyinyi huwa mnaudhi sana. Kama hukuwa kwenye mahusiano nae hukujua condom? Take ur responsibility mimba hailetwi na mtu mmoja bali ni unganisho la watu wawili na huyo wa pili ni wewe. Na wewe kwa mtizamo...
  13. M

    WANAUME: Epuka kumwoa Mwanamke kwakuwa ana Mimba yako!

    Makaura wewe mshenzi kabisa sasa hapa umekuja kumaliza stress zako au? Watu wanakupa ushauri umeng'ang'ana na yako sasa ilikuja hapa ili iweje maana umekuja unaomba ushauri halafu wewe ndio mjuaji. Siku nyingine msiwe mnapost ushenzi wenu humu Wachangiaji nawapongeza sana tungekuwa wakali...
  14. M

    Tanzania: Chanzo cha kuporomoka kwa Maadili katika Jamii na Hatma ya Taifa!

    Kwa kweli huwa sipendi post zako ila leo umeongea ukweli. Hata kuhusu kukanya, hawakanyi watoto wao wakikosea kwa kigezo cha upendo. Wanajidai wanaiga wazungu wakati wazungu wengi tu wako strict na watoto wao, hawachapi ila wana adhabu zao. Leo hii jaribu kumkanya mtoto wa mtu uone mzazi wake...
Back
Top Bottom