Hili ni swali pana sana na halina jibu la moja kwa moja. Inategemea mama yupo na baba au yupo peke yake, kama yupo peke yake kiheshima mnapaswa kumpa offer ya kukaa mbele coz kiafrica kiti cha mbele ni cha heshima yeye mwenyewe ndio akatae aseme atakaa nyuma.
Pia inategemea na mchango wa mama...
Wewe ndio mburullah ambao mnaendekeza huu ushenzi uendelee, surprisingly wewe ni mwanamke. Hivi huyu binti alijipa mimba mwenyewe? Kama huyu mburullah mwenzio alijua hamtaki y hakutumia kinga? Watu wanatakiwa kujifunza kuchukua responsibility ya makosa yao wote sio mzigo abebe mmoja no...
Na unavyosema hamkuwa kwenye mahusiano ulikuwa unamkojolea kwenye ndoto? yaani watu kama nyinyi huwa mnaudhi sana. Kama hukuwa kwenye mahusiano nae hukujua condom? Take ur responsibility mimba hailetwi na mtu mmoja bali ni unganisho la watu wawili na huyo wa pili ni wewe.
Na wewe kwa mtizamo...
Makaura wewe mshenzi kabisa sasa hapa umekuja kumaliza stress zako au? Watu wanakupa ushauri umeng'ang'ana na yako sasa ilikuja hapa ili iweje maana umekuja unaomba ushauri halafu wewe ndio mjuaji. Siku nyingine msiwe mnapost ushenzi wenu humu
Wachangiaji nawapongeza sana tungekuwa wakali...
Kwa kweli huwa sipendi post zako ila leo umeongea ukweli. Hata kuhusu kukanya, hawakanyi watoto wao wakikosea kwa kigezo cha upendo. Wanajidai wanaiga wazungu wakati wazungu wengi tu wako strict na watoto wao, hawachapi ila wana adhabu zao. Leo hii jaribu kumkanya mtoto wa mtu uone mzazi wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.