3.MUME MTUMWA alipaswa kuitwa MUME MFALME maanake anafanyiwa kila kitu. MTUMWA huwa anamfanyia MFALME wake kila kitu na si kinyume chake
Haahahaaahkwa hiyo hilo lirole modo lako linasema hakuna wanaume wema?????
maana kimeandika sifa mbaya tu za wanaume....
hebu liulize lirole modo lako lenyewe lipo kundi gani kati ya 1-5
😄😄😄😄
Bora usiwepo hapoSijajiona hapo japo bado sio mume
Wewe utakuwa kundi la mume mchoyoLete nyingine hapo bado sipo...
troublemaker 2019. all right reserved.
Sipo ila naambiwa mi ni don't care balaaBora usiwepo hapo
Aninamba ni anatulu kumaso muwabee, sikanitola anasingida ine.
Kupunguza sasa muhimu umejuaSipo ila naambiwa mi ni don't care balaa
Nalifanyia kazi aisee, nsije kuendelea kukosa bahati hivi hiviKupunguza sasa muhimu umejua
OkNalifanyia kazi aisee, nsije kuendelea kukosa bahati hivi hivi
Wewe utakuwa kundi la mume mchoyo
troublemaker 2019. all right reserved.




Umekuja huku kufanyaje kama haujabalehe
Sijaoa kwahio sipo.Wewe namba ngapi hapo?
Kuchomwa moto mbinguni