Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 4,205
- 7,771
SureLove has to develop naturally. Wewe sasa ndio unapenda, mwenzio huyo yupo kwenye mission.![]()
SureLove has to develop naturally. Wewe sasa ndio unapenda, mwenzio huyo yupo kwenye mission.![]()
Niliachaga kuingia bank siku nyingi sana baada ya kuona nawasumbuwa foleni watu wenye pesa zao, siku hizi namalizana na wakala tu, labda in case unataka kudiposeti pesa nyingi ndio naingia bank.Pesa uli draw za kwako?
Bado Una draw pesa nyingi hapo??
Mfano umemuoa akaja mteja mwingine mwenye pesa mara 10 ya pesa zako akamtaka....umewahi waza Hilo??
Niliachaga kuingia bank siku nyingi sana baada ya kuona nawasumbuwa foleni watu wenye pesa zao, siku hizi namalizana na wakala tu, labda in case unataka kudiposeti pesa nyingi ndio naingia bank.
In short huwezi kumchanganya bank teller ambaye kila siku watu wanafanya miamala ya nguvu anaachiwa laki moja ya lunch.
Huyo Dogo hayajui mambo ya bank kaamuwa tu kuja kuwapanga, unaweza kukuta hapo bundle analotumia ni la Tigo niwezeshe



we jamaa unaonekana mjuaji sanaNliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishang’aa sana then akaanza maswali ya kizushi ‘ mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.
Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema “make sure unanicheck online plz” nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.
Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.
Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.
Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.
Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?
Hebu amka usije ukajikojolea
Maliza basi unipisheBado kimoja mama
......😎tukitoka analipia bills zote na usafiri,.
😂😂😂😂mtu mwenye pesa hawezi andika 'bira' au 'hakiri'..... huu ni uongo mtupu!!
umekwisha,you are finish,umekwenda na waterNliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishang’aa sana then akaanza maswali ya kizushi ‘ mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.
Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema “make sure unanicheck online plz” nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.
Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.
Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu amuda wote.
Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.
Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?
Nliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishang’aa sana then akaanza maswali ya kizushi ‘ mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.
Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema “make sure unanicheck online plz” nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.
Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.
Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.
Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.
Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?
Halafu kesho wanaomba kufundishwa namna ya kukopaJF watu Ni matajiri Sana kudadeki![]()
Mbona Kiduku alikuwa hashambuliwi? Ukileta uongo upangilie vizuri, hakuna mtu mwenye akili timamu anayependa kudanganywa, yani unatufanya humu kama ni Watoto wenzako.Nilichonote kwa nini mtu akisema anahela members wa jforum mnamshambulia? Ila angeleta stori za umasikini kuwa analala njaa hana kitu hapo members ndio hujifanya kumsupport kwa kumpa pole...

Unatongoza mkeo wa hiyari!!?Nliingia bank flan hapa Mwanza nlienda ku-withdraw pesa nyingi sana kwenye account yangu, Teller baada ya kuona kiwango cha pesa nnachotaka kutoa na umri wangu alishang’aa sana then akaanza maswali ya kizushi ‘ mara una miaka mingap mara unaishi wapi umeoa? unafanya biashara gani, majibu yote nliyomjibu nlimdanganya.
Alifanya kazi yake iliyompeleka Bank then mwisho akanipa namba yake bira kumuomba then akasema “make sure unanicheck online plz” nkakubari then nkachukua mzigo nikaondoka, Baada ya siku 5 nikamcheck alifrahi sana.
Aliniomba tuwe marafiki tuwe tunatoka ote kwenda viwanja kunywa na kula BBQ,kila kitu kilienda vizuri, kadri siku zilivozidi kwenda yule mdada alikua akionyesha kunipenda sana japo mim nlkua sijionyeshi kuwa nina pesa lakn yeye alkua anakuja mzima mzima, tukitoka analipia bills zote na usafiri,.
Dhumuni la uzi huu ni kwamba kadri sku zinavozidi kwenda naanza kumpenda kwel kwel, mpaka nafikia hatua nahisi kama amefanya sayansi fran ili kuniteka hakiri yangu, najikuta namfikilia yeye tu muda wote.
Juzi nimemtokea nmemuelezea hisia zangu kwake akawa kama hanielewi, nkikausha nisipomtafta yeye ndo wa Kwanza kunitafta kila siku.
Naombeni ushauri, nikate tamaa kutongoza ama niendelee kupambana mpaka nimpate ama ndo hanipendi ananichezea hakili tu?