Recent content by mimi mnyeti

  1. mimi mnyeti

    Wale wazee wa ‘Ile hela tuma kwenye namba hii’ hatimaye wanaswa na Polisi

    Nimejaribu kufikiria kwa kina nimeshindwa kupata jibu sahihi. Zaidi ya milioni ya watumiaji wa mitandao tanzania kote wamekumbwa na wimbi kubwa la meseji za kutaka kutumiwa fedha kwenda kwenye namba fulani. Bila shaka watumaji wametajirika hasa baadhi ya ndugu zetu kutuma hela bila...
  2. mimi mnyeti

    Modem inauzwa. Ni universal haichagui laini, bei 30,000

    Hivi kumbe bado modem zipo[emoji3]
  3. mimi mnyeti

    Hongera watu wa RITA: Kumbe inawezekana Tanzania hasa Taasisi ya umma kufanya mambo kwa wakati

    Daa mmenikumbusha NIDA. Unaweza ambiwa uende baada ya wiki 6. Ukienda unaambiwa bado rudi baada ya mwezi .. yani daah hawa jamaa
  4. mimi mnyeti

    Namna ya kutambua fake iphone

    Pia cheki kama siri anafanya kazi. Kama hafanyi basi ndo ntolee. Pia connect na itunes. Kama itakupa error basi jua pia una fake phone
  5. mimi mnyeti

    Namna ya kutambua fake iphone

    Ingiza imei kwenye imei.info itakupa taarifa zote za simu yako. Kama haziendani na simu yako basi jua tayari una clone. Pia angalia kama inakubali icloud. Kama ni feki haitakubali.
  6. mimi mnyeti

    Nimechimba kisima kwa 5.8mil nasambaza maji mtaa mzima; Nashangaa miradi ya Serikali huwa inakwama wapi

    Serikali imeanza ukaguzi wa wananchi wote wanaotoa huduma za maji. Hairuhusiwi kusambaza maji kwa wananchi kama haujasajiliwa na mamlaka za maji safi na maji taka. Pili lazima maji yako yapimwe na kuthibitishwa na mamlaka za maji safi na taka. Tafadhali kaa kimya na uuze maji yako
  7. mimi mnyeti

    Msaada wa Kufungua Iphone (Icloud) Baada ya Kuformat

    Kama kweli ni ya kwako basi angalia basi nenda kwenye icloud.com nenda then click sehemu ya foeget you password. Watakuuliza maswali ya mwanzo halafu watakupa sehemu ya kureset. Ila kama simu sio yako ni ya wizi naomba niseme hakuna njia yeyote hapo. Cha msingi hiyo simu uza kama spare parts...
  8. mimi mnyeti

    Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

    Kama huna iphone au samsung wewe huna simu. Ila una kifaa cha mawasiliano. Simu za tecno zina soko kwenye nchi za afrika kwa sababu ya unafuu wa bei yake na aina ya watumiaji wake. Ndio manaa zinauzwa kama njugu. Watu husema cheap is expensive amini. Kama unahitaji simu ya kukaa nayo muda mrefu...
  9. mimi mnyeti

    Mwenye Galaxy S6 au S6 edge

    Kama una simu ya namna hiyo na unauza please nitafute tuongee biashara
  10. mimi mnyeti

    Bila upinzani, Tanzania ingekuwa zaidi ya Japan kiuchumi

    This topic is masterminded in ironic way. Mtoa mada katoa mada nzuri sana. Lakini shida ni kwamba wapinzani wamesababisha watu wasielewe mada. Hongera muanzisha uzi
  11. mimi mnyeti

    Ijue Dira na Dhima mpya ya Jeshi la Polisi

    Hadithi za giningi kwenye nchi ya kusadikika.
  12. mimi mnyeti

    Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

    Mbona hamna kitu kipya kwenye ios?? Hivi JF nyie likes then huwa hazizidi 5 kwenye uzi ee Afu mbona kama hakuna delete?
Back
Top Bottom